Meli ya Uingereza yalipuliwa na Houthis ilikuwa imebeba mafuta ya ndege

Meli ya Uingereza yalipuliwa na Houthis ilikuwa imebeba mafuta ya ndege

Watajibu nini zaidi ya kushambulia Yemen, wameingia kwenye mtego wa Wayemen, Qatar na Saudia waliwambia msiwashambulie hawa mashambuliizi hayawezi kuwazuia kitu hawa, tunawajua hawa ni wehu wa vita Marekani na Uingereza wakaleta ubabe wa kizamani ndoani imekwama lawama anapewa Iran wanamwambia anawapa makombora, uzuri wa hii vita inapiganiwa baharani😂
I LOVE YEMEN
 
Houthi yaani anakusubir kwenye angle Sasa mungreza ameshangaa anapakwa mafuta Ile kuhamaki uji wa vuguvgu na umotomoto ukiwa na wazungu mwaaa.
 
Unaposema capacity kubwa unamaanisha kuua watoto na wanawake? Au kubomoa miundombinu? Fafanua capacity kubwa ni ipi

Heavy bombing...

Kuua watoto au wanawake sio vita hiyo, hayo ni mauaji ya halaiki...
 
Heavy bombing...

Kuua watoto au wanawake sio vita hiyo, hayo ni mauaji ya halaiki...
Ina maana hufuatllii habari kiasi cha kujua kuwa Houthi anapigwa makombora na US na UK? bila shaka capacity kubwa unamaanisha ka yale yaliyotokea Gaza
 
Back
Top Bottom