Hoja ni kuwa imeshambuliwa au hajashambuliwa?Mujahideen waongo sana walisema meli imelipuka yote
Meli zenyewe zinaitwa Her majesty ships halafu utegemee iwe na kifua cha kutuma kombora umbali wote huo! Wingereza hua ni wapiga kelele bila Marekani hata South Africa anakomaa nae bizuri tuMeli za kivita za Uingereza haziwezi kushambulia shabaha za Houthi kwenye nchi kavu kwa sababu hazina nguvu za moto, The Telegraph inaripoti.
Hakuna hata mmoja wa waharibifu au frigates za Jeshi la Wanamaji wa Kifalme wanaoweza kurusha makombora kuelekea ardhini, na hivyo kuacha Jeshi la Wanamaji la Marekani kutekeleza mashambulizi yake mengi kwenye shabaha za Houthi, zikisaidiwa na ndege za Jeshi la Wanahewa la Kifalme umbali wa maili. 1,500.
Ngudu ni ya kwimbaNgudu? 😂😂🤣 Ni ile ya Misungwi Mwanza? Unapajua mkuu
Ni kwimba kweli, sawa kabisa mkuuNgudu ni ya kwimba
Imelipuka hapo?Hoja ni kuwa imeshambuliwa au hajashambuliwa?
View: https://x.com/warintel4u/status/1751253944267858002?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Wayemeni walisema mmeyakanyaga, sisi tulikuwa hatutumii silaha za kuharibu meli au kuhatarisha maisha, tulikua tunatumia silaha za kuwatisha meli zigeuze. Mmeua watu wetu lazima damu yao ilipweSasa mmeuwa watu wetu. lazima damu yao ilipwe na sasa hatujali meli ya mazayuni, magaidi wa US na Uingereza inaenda wapi, hapa haikatizi salama.Wanakumbi.
Kumekucha tena bahari nyekundu imechafuka Wayemeni wanapambana na Magaidi Marekani na Uingereza safi sana.
Biden, anaomba msaada China kupambana na Yemen anaulizwa kwa wao wanapigana sababu gani anasema tu hawa ni magaidi China kamwambia basi endelea na vita.
Yule Muhindi wa Uingereza yeye wakati anashambulia Yemen alijitoa ufahamu akasema hii vita aina uhusiano na vita vya Gaza basi wandelee kumlinda Zayuni waone balaa lake.
Meli ya Uingereza iliyogongwa na Houthis imebeba mafuta ya ndege
Waandishi wa habari wa baharini wanasema meli ya Uingereza ya Marlin Luanda inabeba mafuta ya ndege ya Naptha, ambayo yanaweza kuwaka sana.
Iwapo meli hii itazama, itakuwa meli ya kwanza kuzamishwa na mashambulizi ya Yemen
View: https://x.com/megatron_ron/status/1751051387968852170?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Hii nayo kali, hao wa Jordan vibaraka wa Marekani kama Saudi Arabia. Watakoma ubishi, wahouthi nao wakiliansha Saudia. Maana Wamarekani wana base na interest zao nyingi Saudia. Hii vita lazima Mmarekani atambae kwa kujifanya yupo karibu sana na mazayuni.Breaking | CNN reports that three US service members are dead and at least two dozen are injured in a drone attack on a military base in northern Jordan.
Si haba…Hii nayo kali, hao wa Jordan vibaraka wa Marekani kama Saudi Arabia. Watakoma ubishi, wahouthi nao wakiliansha Saudia. Maana Wamarekani wana base na interest zao nyingi Saudia. Hii vita lazima Mmarekani atambae kwa kujifanya yupo karibu sana na mazayuni.
Scott Roter nae anasema Mrussi kishwake base yake mpaka wa Djibouti na Somalia. Kimbembe hiki.
Marekani wanalia na Iran tu wanajitoa ufahamu wao si wapo Mazayuni wapambane tu Iraq hawatakiwi wameambiwa watoe majeshi yako Miraq anamuita Putin.Hii nayo kali, hao wa Jordan vibaraka wa Marekani kama Saudi Arabia. Watakoma ubishi, wahouthi nao wakiliansha Saudia. Maana Wamarekani wana base na interest zao nyingi Saudia. Hii vita lazima Mmarekani atambae kwa kujifanya yupo karibu sana na mazayuni.
Scott Roter nae anasema Mrussi kishwake base yake mpaka wa Djibouti na Somalia. Kimbembe hiki.
Hawa mashetani wanataka wauwe wenzao tu, wakiuliwa wao huwa mwao.⚡️United States of America: President Joe Biden:
The attack that led to the death of 3 American soldiers was carried out by “Iranian-backed extremist groups” operating in #Syria and Iraq