Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Wanakuja mbio na majambia wale jihadists [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakuja mbio na majambia wale jihadists [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahhahah [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] Wameiteka Red Sea daaah.
Shule shule. Shule.
Kwa hiyo hao wasomali walitoka bahari ya Hindi wakaenda kuteka meli bahari nyekundu[emoji23]
Hayo hayafundishwi madrassa kule ni judo na namna ya kutumia AK47 Assault Rifle ili kukuweka tayari kwa Global Jihad Mission.Binti Rita zainabu !!
somalia iko upande wa bahari ya hindi
na kuna upande upo upande wa red sea ambako ndo kuna somaliland na kupakana na puntland
binti Rita zainabu shule hunaga kabisa
Unaelewa unachoshabikia?Mzuka wanajamvi,
Naanza kwa kucheka hahaha kwikwikwi.
Meli ya uvuvi ya Iran Almeraj 1 imetekwa na maharamia ya Kisomali ambao wanadai usd 400000 ili kuichia pamoja na wavuvi wake.
Kumbuka Kwenye hiyohiyo bahari nyekundu Iran wanatumia wanamgambo wa Houthi kuteka meli za wateule Israel na Marekani na wao Iran Shiite sasa hivi wanatekwa na meli zao kutoka waislamu madhehebu ya sunni wasomali.
Hapa Patamu Shia vs Sunni.
Maharamia wasomali kamateni hapohapo msiachie.
Alwaz Ritz incharge ITR
JUSTICE FOR JOSHUA AND CLEMENCE.
Wewe mgalatia wa ajabu sana. Endelea tu kuwatetea na kuwaunga mkono.Unaelewa unachoshabikia?
Yesu hakuja kuleta vita. Alitutaka tuwe na Amani tena tuwe nayo tele.Wewe mgalatia wa ajabu sana. Endelea tu kuwatetea na kuwaunga mkono.