Meli ya uvuvi ya Iran yatekwa na maharamia ya kisomali

Hahahhahah [emoji23][emoji3][emoji3][emoji3] Wameiteka Red Sea daaah.

Shule shule. Shule.

Kwa hiyo hao wasomali walitoka bahari ya Hindi wakaenda kuteka meli bahari nyekundu[emoji23]

Binti Rita zainabu !!

somalia iko upande wa bahari ya hindi
na kuna upande upo upande wa red sea ambako ndo kuna somaliland na kupakana na puntland

binti Rita zainabu shule hunaga kabisa
 
Binti Rita zainabu !!

somalia iko upande wa bahari ya hindi
na kuna upande upo upande wa red sea ambako ndo kuna somaliland na kupakana na puntland

binti Rita zainabu shule hunaga kabisa
Hayo hayafundishwi madrassa kule ni judo na namna ya kutumia AK47 Assault Rifle ili kukuweka tayari kwa Global Jihad Mission.
 
Unaelewa unachoshabikia?
 
Wewe mgalatia wa ajabu sana. Endelea tu kuwatetea na kuwaunga mkono.
Yesu hakuja kuleta vita. Alitutaka tuwe na Amani tena tuwe nayo tele.

Sishabikii kifo cha mtu asiyemjua Mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…