Meli za kivita za Marekani na miji ya Israel kuendelea kushambuliwa Mashariki ya Kati ni ujumbe mzito wa mustakbali wa usalama wa dunia

Meli za kivita za Marekani na miji ya Israel kuendelea kushambuliwa Mashariki ya Kati ni ujumbe mzito wa mustakbali wa usalama wa dunia

Alijitoa peke yake au walimuua,aliomba kwa Mungu wake,kuwa kikombe cha mauti,kimuepuke,,lakini hawa magaidi wakamtesa,wakamdhihaki,wakamvalisha nepi,wakamtemea mate,wakampiga mkuki,wakamsulubu,wakamuua,juu ya kuwa alikuja kuwakomboa wana Israel.
Wakristo wa madhehebu za kiyahudi hawajui hayo baada ya kuingiziwa ujinga kwenye mafunzo yao
 
Bado unajidanganya.Kuna wenzako humu JF walituaminsha kwamba Hezbollah hawagusiki na Israel wakiwagusa tu,itakua mbaya sana kwao.
Kwani imekuwaje mpaka sasa.
Umeahi kusikia TelAviv ikishambuliwa na mtu yoyote huko nyuma.
 
Acha wacheke kumuua Nasrallah nimekua nikizungumza mara nyingi humu the problem to them is Islam, pale kuna msikiti wetu wa Al aqswa hivyo basi kama wataweza kuumaliza Uislam hii vita watashinda na Uislam haujazaliwa kushindwa mtaua watu sio Dini.
Hilo halina shaka mkuu, jukumu walilojitwika (kuuangamiza Uislam)ni lamilele.wapendwa wao wanaliita taifa la Mungu na kwamba vita kwao ndio maisha!. bado natafakari juu ya hili,kwa wao kuwa taifa la Vita ni Baraka au laana!?
 
Acha wacheke kumuua Nasrallah nimekua nikizungumza mara nyingi humu the problem to them is Islam, pale kuna msikiti wetu wa Al aqswa hivyo basi kama wataweza kuumaliza Uislam hii vita watashinda na Uislam haujazaliwa kushindwa mtaua watu sio Dini.

Acha kuuchafua uislamu kwa kulazimisha ugaidi.
 
Acha wacheke kumuua Nasrallah nimekua nikizungumza mara nyingi humu the problem to them is Islam, pale kuna msikiti wetu wa Al aqswa hivyo basi kama wataweza kuumaliza Uislam hii vita watashinda na Uislam haujazaliwa kushindwa mtaua watu sio Dini.
Uislamu upo kila sehemu wala haupigwi vita. Upo hadi marekani ndani ndani huko waislamu wanaswali vizuri tu.
Haya yanayoendelea ni mavita yao tu yakugombania ardhi na ugaidi na mambo kama hayo.
 
Hata Nasrallah aliogopa kifo ndio maana alikuwa anajifucha kwenye mahandaki.
Kujificha kwenye mahandaki hata Netanyahu ndio hivyo hivyo na yeye kwenye mahandaki ya kuzui nyuklia kabisa.
Kwa Nasrallah alikufa ndani ya jengo la makao makuu ya chama akipanga mikakati ya vita .Huo ni ushujaa
angekufa huku anavuka mpaka akaishi nje ya nchi tungesema mengine.
 
Huku eneo la Gaza likiwa limezingirwa na Israel na viongozi kadhaa wa Hizbullah na Hamas kuuliwa inatoa ishara ya ushindi kwa Israel.Hata hivyo kushambuliwa kwa meli za kivita za Marekani na kushambuliwa kwa miji mikubwa yote ya Israel hakutoi ishara nzuri kwa usalama wa mataifa hayo na mashariki ya kati kwa ujumla.

Kutokana na mendeleo makubwa ya kiteknolojia imekuwa ni rahisi kwa mwenye nguvu kumlenga na kumuua mtu wanayemuona ni adui kwao.Wakati huo huo imekuwa ni vigumu pia kupata ushindi kwa asilimia mia moja na pia ni rahisi kwa mtu ambaye ni dhaifu kuendeleza vita kwa muda mrefu.

Kinachoendelea mashariki ya kati kwa sasa kinatoa ufafanuzi wa wazi kwa wazo hilo hasa ukilingalia kwamba pamoja na nguvu kubwa za kijeshi walizonazo Marekani na Israel hazijawanyamazisha wala kuwahofisha makundi kama Hamas,Hizbullah na Houth kutusha makombora katikati ya Israel na uwelekeo wa meli za kivita za Marekani.
Ujasiri kama huo na uwezekano wa kufikia kuleta taharuki katikati ya Israel na kwenye miji yake mikuu haukuwepo kabisa.

Bila kubadilishwa sera za Israel na Marekani hali hiyo inatosha kuoesha kuwa vita baina ya mataifa hayo na maadui zake vita vi vita endelevu vitakavyokuwa vikibadilika kulingana na wakati tu,

Mwaka 2006 Hizbullah walipigana na Israel kwa teknolojia ya wakati huo ya kupiga vifaru tu na kuitia hasara kubwa.Mwaka huu pamoja na kuzidiwa kiteknolojia hasa ndege za kivita lakini bado wameweza kwa mara ya mwanzo kupiga mpaka katikati ya taifa hilo.

Kwa ujumla bila kubadili sera na malengo pamoja na kufuata maazimio ya kuleta suluhu,Israel haitaweza kujilinda na kubaki salama usalimini mpaka mwisho katikati ya majirani zake
Kwanza heading yako sijaielewa.
Tuambie kwa nini hizb wanarusha missile ?
 
Acha wacheke kumuua Nasrallah nimekua nikizungumza mara nyingi humu the problem to them is Islam, pale kuna msikiti wetu wa Al aqswa hivyo basi kama wataweza kuumaliza Uislam hii vita watashinda na Uislam haujazaliwa kushindwa mtaua watu sio Dini.
Bado nahisi hujui chochote kuhusu mgogoro wa mashariki ya kati. Kwamba issue ni msikiti? Hakuna Wayahudi Waislamu? Kajifunze upya; hi ya kuzungumzia dini ni huku kwetu Africa, tena Africa ya weusi ndio tunajua hivo, Waarabu wenyewe wanajua sababu. Well, before I forget..., Saudia, Qatar, UAE,Kuwait nk sio Waarabu? Sio Waislamu? Why nchi kama Saudia ipo tayari viwanja vyake vya ndege vitumiwe na Israel lakini sio Hamas? Why Lebanoni haipendezwi na uwepo wa Heziborah kwenye ardhi yao? Sio Waislamu wale? Hawaujui huo msikiti? Sie huku tunaijua dini kuwazidi wale ambao hata kitabu kimeandikwa kwa lugha yao? Hapa duniani kuna mataifa mengine yenye historia ya kupigana mara kwa mara kama Israel and Palestinians? Hapo hakuna kitu kama Islamic in the world and hence there was no msikiti at the area and still walikua wakipigana...! Bro, rudi kaisome tena historia ya hawa watu
 
Tatizo la mashariki ya kati ni Iran. Bila ya Iran, mashariki ya kati ingekuwa tulivu.

Iran imetengeneza makundi ya kigaidi ili kuzipindua serikali zote za nchi za kiarabu ambazo siyo za waislam wa Shia.

Matokeo yake, Iran imetengeneza uadui mkubwa na mataifa mengine ya kiarabu na Israel.

Israel ina uhusiano mzuri wa kidiplomasia na Misri, Jordan, UAE, Uturuki, na bila ya mauaji ya Hamas dhidi ya Israel, ilikuwa inaanzisha uhusiano wa kibalozi na Saudia. Lakini Iran inasema kuwa eti wazayuni hawatakiwi kuwepo Duniani, wanatakiwa kuangamizwa!! Sasa huo kama si ushetani ni nini?

Bila ya ushetani wa Iran, sahizi Wapalestina wangekuwa na nchi yao. Ushetani wa Iran wa kufadhili makundi ya kigaidi, ndiyo unazifanya nchi za kiarabu kumwona myahudi ni kama mkombozi wao maana angalao Israel ina uwezo wa kuyapunguza nguvu haya makundi ya kigaidi ya Iran. Watu wote Duniani, zikiwemo nchi za kiarabu, hakuna wenye uchungu na vifo vya haya makundi ya kigaidi maana haya makundi yamesababisha vifo vya waarabu wengi tangia kuanza kwake. Watu wana machungu, na kwa kweli inaumiza sana, kuona kuna watu wasio na hatia, hasa watoto, wakiuawa na kupata taabu. Lakini haya makundi ya kigaidi hayana huruma kabisa, yanajipenyeza katikati ya makazi ya raia na kufanya mashambulizi dhidi ya Israel huku wakijua kuwa Israel itakapojibu mapigo, hawa watu wasio na hatia wanakuwa wahanga wa mwanzo wa vita.
 
Msipo patana na Israel dini ya Islamic inatakuwa ndo mwishowake Duniani kwani jamaa wanapiga kwenye chimbuko la Islamic......

Waislamic wa buza nyie Israel hana mda nao maana anajua CCM tu anawatoa kamasi kama kipind kile cha lipumba bakoora na mitama maskheee walichezea sana mtongani
 
Hassan Nasrallah ni wa Allah na kwake amerejea.Wenzake watachukua majukumu.
Nasrallah mwenyewe alichukua cheo mwaka 1992 kilichowachwa wazi na Mussa Musawi aliyeuliwa na hao hao Israel.

Huyo allah ameshindwa vile vile miungu mingine walishindwa kabla ujio wa allah, kulikuwa na miungu kama vile baal, yule wa Wafilisti, alishindwa kitambo sana kufuta jamii ya Wayahudi, sasa huyu wenu ambaye amebuniwa na muarabu hivi majuzi ndio hana jipya.
 
Umefahamika ukubwa wa ujinga wako.
Kwamba kwenda kwa mabikra peponi unaona ni jambo la kipuuzi na unakubali kuwa shoga duniani
Mashoga wanafumuliwa tu kwa code za mombasa na pemba kwa wanaopenda hayo mambo
 
Back
Top Bottom