Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Bado unajidanganya.Kuna wenzako humu JF walituaminsha kwamba Hezbollah hawagusiki na Israel wakiwagusa tu,itakua mbaya sana kwao.Hii vita ni ngumu zaidi kwa Muisrael...
Yeye anapigana ili Aishi, Ilhali wenzake wanaishi ili wapigane naye...