Usijione uko huru sana kutumia mdomo uliopewa na Allah ili uutumie kwa faida yako.Huyo allah ameshindwa vile vile miungu mingine walishindwa kabla ujio wa allah, kulikuwa na miungu kama vile baal, yule wa Wafilisti, alishindwa kitambo sana kufuta jamii ya Wayahudi, sasa huyu wenu ambaye amebuniwa na muarabu hivi majuzi ndio hana jipya.
Haujasema.Umeandika.Wenzangu akina nani?
Umeelewa nilichokisema lakini?
Ingekua hiyo ni sababu mashambulizi yangesimama. Vita Bado inaendelea na taarifa zinatolewaShida Sasa hivi hawawasiliani hivyo kuwapiga ni Rais. Pager zote zilifumuliwa.
Si mlishangilia ..? Mkajimwambafai hezbollah watemi kiko wapi. Acha mpate motroooo tena wa gas kabisaHuku eneo la Gaza likiwa limezingirwa na Israel na viongozi kadhaa wa Hizbullah na Hamas kuuliwa inatoa ishara ya ushindi kwa Israel.Hata hivyo kushambuliwa kwa meli za kivita za Marekani na kushambuliwa kwa miji mikubwa yote ya Israel hakutoi ishara nzuri kwa usalama wa mataifa hayo na mashariki ya kati kwa ujumla.
Kutokana na mendeleo makubwa ya kiteknolojia imekuwa ni rahisi kwa mwenye nguvu kumlenga na kumuua mtu wanayemuona ni adui kwao.Wakati huo huo imekuwa ni vigumu pia kupata ushindi kwa asilimia mia moja na pia ni rahisi kwa mtu ambaye ni dhaifu kuendeleza vita kwa muda mrefu.
Kinachoendelea mashariki ya kati kwa sasa kinatoa ufafanuzi wa wazi kwa wazo hilo hasa ukilingalia kwamba pamoja na nguvu kubwa za kijeshi walizonazo Marekani na Israel hazijawanyamazisha wala kuwahofisha makundi kama Hamas,Hizbullah na Houth kutusha makombora katikati ya Israel na uwelekeo wa meli za kivita za Marekani.
Ujasiri kama huo na uwezekano wa kufikia kuleta taharuki katikati ya Israel na kwenye miji yake mikuu haukuwepo kabisa.
Bila kubadilishwa sera za Israel na Marekani hali hiyo inatosha kuoesha kuwa vita baina ya mataifa hayo na maadui zake vita vi vita endelevu vitakavyokuwa vikibadilika kulingana na wakati tu,
Mwaka 2006 Hizbullah walipigana na Israel kwa teknolojia ya wakati huo ya kupiga vifaru tu na kuitia hasara kubwa.Mwaka huu pamoja na kuzidiwa kiteknolojia hasa ndege za kivita lakini bado wameweza kwa mara ya mwanzo kupiga mpaka katikati ya taifa hilo.
Kwa ujumla bila kubadili sera na malengo pamoja na kufuata maazimio ya kuleta suluhu,Israel haitaweza kujilinda na kubaki salama usalimini mpaka mwisho katikati ya majirani zake
Nafikiri makafiri wanajingopea kuwa tukiwaua wataogopa na vita kuisha,watambue tu Muislam haogopi kufa hasa anapoamini ninakufa ktk misingi ya Imani yangu nimalize Mimi wengine watashika nafasi Nasallah amekwenda na makamanda wa vikosi vyote wapo wengine wanasubiri teuzi washike nafasi kuendeleza vita hiyo hata kama baada ya kuteuliwa na kufa,Kwa Mgogoro uliopo pale Israel ajue tu hatopata amani ikiwa ataendelea kuikandamiza palestina na majirani wengine.Acha wacheke kumuua Nasrallah nimekua nikizungumza mara nyingi humu the problem to them is Islam, pale kuna msikiti wetu wa Al aqswa hivyo basi kama wataweza kuumaliza Uislam hii vita watashinda na Uislam haujazaliwa kushindwa mtaua watu sio Dini.
Hawa makamanda wanao subiri teuzi kuna makamanda hapo wali took the benefit. Namaanisha pengine walivujisha siri.Nafikiri makafiri wanajingopea kuwa tukiwaua wataogopa na vita kuisha,watambue tu Muislam haogopi kufa hasa anapoamini ninakufa ktk misingi ya Imani yangu nimalize Mimi wengine watashika nafasi Nasallah amekwenda na makamanda wa vikosi vyote wapo wengine wanasubiri teuzi washike nafasi kuendeleza vita hiyo hata kama baada ya kuteuliwa na kufa,Kwa Mgogoro uliopo pale Israel ajue tu hatopata amani ikiwa ataendelea kuikandamiza palestina na majirani wengine.
Huu ujinga wa kuwaaminisha watu kwamba hii ni vita ya kidini na sio ardhi ndio maana mnatengeneza mgawanyiko hampati uungwaji mkono wa asilimia mia.Acha wacheke kumuua Nasrallah nimekua nikizungumza mara nyingi humu the problem to them is Islam, pale kuna msikiti wetu wa Al aqswa hivyo basi kama wataweza kuumaliza Uislam hii vita watashinda na Uislam haujazaliwa kushindwa mtaua watu sio Dini.
Hiyo Al Aqsa ilijengwa kwenye uwanja wa baba yako ?Acha wacheke kumuua Nasrallah nimekua nikizungumza mara nyingi humu the problem to them is Islam, pale kuna msikiti wetu wa Al aqswa hivyo basi kama wataweza kuumaliza Uislam hii vita watashinda na Uislam haujazaliwa kushindwa mtaua watu sio Dini.
Mbona na wewe usinyonge utapike tende na haluwa ufe shaheed .Waaelimisheni hao wanaofikiri mashahidi wanakufa, wapo hai asiejua hilo ni jahili tu na atabaki kuogopa kufa wakati anajua atakufa tu.
Usijione uko huru sana kutumia mdomo uliopewa na Allah ili uutumie kwa faida yako.
Mwenzako mmoja juzi tu mtaani kwetu alizimwa ghafla akakosa hata muda wa kujutia kwa alichokisema.
Tania wenzako upendavyo lakini jizuie sana na kumtania Allah.
Mifano iko mingi sana ya zamani na karibuni kabla ya hata kufikia kwa Firauni kutokana na matumizi mabaya ya midomo.Na hayo huwa yanawatokea wote makafiri ya dini nyengine na waislamu wanafiki.
Huku eneo la Gaza likiwa limezingirwa na Israel na viongozi kadhaa wa Hizbullah na Hamas kuuliwa inatoa ishara ya ushindi kwa Israel.Hata hivyo kushambuliwa kwa meli za kivita za Marekani na kushambuliwa kwa miji mikubwa yote ya Israel hakutoi ishara nzuri kwa usalama wa mataifa hayo na mashariki ya kati kwa ujumla.
Kutokana na mendeleo makubwa ya kiteknolojia imekuwa ni rahisi kwa mwenye nguvu kumlenga na kumuua mtu wanayemuona ni adui kwao.Wakati huo huo imekuwa ni vigumu pia kupata ushindi kwa asilimia mia moja na pia ni rahisi kwa mtu ambaye ni dhaifu kuendeleza vita kwa muda mrefu.
Kinachoendelea mashariki ya kati kwa sasa kinatoa ufafanuzi wa wazi kwa wazo hilo hasa ukilingalia kwamba pamoja na nguvu kubwa za kijeshi walizonazo Marekani na Israel hazijawanyamazisha wala kuwahofisha makundi kama Hamas,Hizbullah na Houth kutusha makombora katikati ya Israel na uwelekeo wa meli za kivita za Marekani.
Ujasiri kama huo na uwezekano wa kufikia kuleta taharuki katikati ya Israel na kwenye miji yake mikuu haukuwepo kabisa.
Bila kubadilishwa sera za Israel na Marekani hali hiyo inatosha kuoesha kuwa vita baina ya mataifa hayo na maadui zake vita vi vita endelevu vitakavyokuwa vikibadilika kulingana na wakati tu,
Mwaka 2006 Hizbullah walipigana na Israel kwa teknolojia ya wakati huo ya kupiga vifaru tu na kuitia hasara kubwa.Mwaka huu pamoja na kuzidiwa kiteknolojia hasa ndege za kivita lakini bado wameweza kwa mara ya mwanzo kupiga mpaka katikati ya taifa hilo.
Kwa ujumla bila kubadili sera na malengo pamoja na kufuata maazimio ya kuleta suluhu,Israel haitaweza kujilinda na kubaki salama usalimini mpaka mwisho katikati ya majirani zake
Sisi ni kina mwamba Hamza tunawalia timing mayahudi na kutumaliza wasahau. sana sana wanazidi kuamsha mashahidi wapya.Mbona na wewe usinyonge utapike tende na haluwa ufe shaheed .
Ngoje tuone zaidi
View: https://www.instagram.com/p/DAfuHJRshsK/?igsh=MTViNXFvM2VjYXZuZA==
Houth Wana makombora na wanawapelekea moto Saudia na USA plus Israel,hivi wanawezeshwa na nani?
View: https://www.instagram.com/p/DAfuHJRshsK/?igsh=MTViNXFvM2VjYXZuZA==
Hakuna waoga kama hao waarabu ndio maana kila mara ni kujificha kwenye mashimo kama panya au kujificha nyuma ya wanawake na watoto.Nafikiri makafiri wanajingopea kuwa tukiwaua wataogopa na vita kuisha,watambue tu Muislam haogopi kufa hasa anapoamini ninakufa ktk misingi ya Imani yangu nimalize Mimi wengine watashika nafasi Nasallah amekwenda na makamanda wa vikosi vyote wapo wengine wanasubiri teuzi washike nafasi kuendeleza vita hiyo hata kama baada ya kuteuliwa na kufa,Kwa Mgogoro uliopo pale Israel ajue tu hatopata amani ikiwa ataendelea kuikandamiza palestina na majirani wengine.
kuna nchi za kufikiria kupigana na kuna nchi za kuleta vichekesho tu. nchi kama Yemen au yeyote ya kimaskini mfano wake, itabweka na kurusha vikombora weee, ila israel au marekani wakipiga tu bandari, kituo cha umeme kama walivyofanya jana, nchi inasimama. hawana umeme, hawana pa kuingiza bidhaa, uchumi unadorora na watachukua miaka mingi kujenga upya.Huku eneo la Gaza likiwa limezingirwa na Israel na viongozi kadhaa wa Hizbullah na Hamas kuuliwa inatoa ishara ya ushindi kwa Israel. Hata hivyo kushambuliwa kwa meli za kivita za Marekani na kushambuliwa kwa miji mikubwa yote ya Israel hakutoi ishara nzuri kwa usalama wa mataifa hayo na mashariki ya kati kwa ujumla.
Kutokana na mendeleo makubwa ya kiteknolojia imekuwa ni rahisi kwa mwenye nguvu kumlenga na kumuua mtu wanayemuona ni adui kwao.Wakati huo huo imekuwa ni vigumu pia kupata ushindi kwa asilimia mia moja na pia ni rahisi kwa mtu ambaye ni dhaifu kuendeleza vita kwa muda mrefu.
Kinachoendelea mashariki ya kati kwa sasa kinatoa ufafanuzi wa wazi kwa wazo hilo hasa ukilingalia kwamba pamoja na nguvu kubwa za kijeshi walizonazo Marekani na Israel hazijawanyamazisha wala kuwahofisha makundi kama Hamas,Hizbullah na Houth kurusha makombora katikati ya Israel na uwelekeo wa meli za kivita za Marekani.
Ujasiri kama huo na uwezekano wa kufikia kuleta taharuki katikati ya Israel na kwenye miji yake mikuu haukuwepo kabisa.
Bila kubadilishwa sera za Israel na Marekani hali hiyo inatosha kuoesha kuwa vita baina ya mataifa hayo na maadui zake vitakuwa ni vita endelevu vitakavyokuwa vikibadilika kulingana na wakati tu,
Mwaka 2006 Hizbullah walipigana na Israel kwa teknolojia ya wakati huo ya kupiga vifaru tu na kuitia hasara kubwa.Mwaka huu pamoja na kuzidiwa kiteknolojia hasa ndege za kivita lakini bado wameweza kwa mara ya mwanzo kupiga mpaka katikati ya taifa hilo.
Kwa ujumla bila kubadili sera na malengo pamoja na kufuata maazimio ya kuleta suluhu,Israel haitaweza kujilinda na kubaki salama usalimini mpaka mwisho katikati ya majirani zake.