Meli za kivita za Marekani zaingia kwenye 18 za Hizbullah, Askari watano waangamia

Meli za kivita za Marekani zaingia kwenye 18 za Hizbullah, Askari watano waangamia

Sayyed Hassan Nasrala katika hotuba yake wiki iliyopita aliionya Marekani kutokana na uungaji wake mkono maafa kwa wapalestina akiiambia kuwa tayari wana kitu mkononi kwa meli zake za kivita zilizotia nanga karibu na nchi hiyo.

Kitu hicho kizito inaaminika ni aina ya makombora mazito ya kuzamisha meli ambayo imeshayapokea kutoka Urusi kupitia Syria.

Makombora hayo inasemekana ni Yakhont missile yenye uwezo wa kupiga mpaka kilomita 300. Pamoja na makombora hayo Hizbollah tayari ina droni nyingi na ambazo wameshaanza kuzitumia kulenga maeneo ya kaskazini ya Israel na kusababisha hasara kwa vikosi vya IDF.

Hapo jana jeshi la Marekani limeomboleza vifo vya askari wake 5 katika eneo la Magharibi ya Lebanon ndani ya bahari ya Mediterraneo.

Katika taarifa ya jeshi hilo imeelezwa kuwa maafa hayo yaliyokea baada ya helkopta iliyokuwa kwenye mazoezi kudondoka baharini.

Akitoa pole kwa familia za askari hao Rais Biden amesema askari hao wamekufa kishujaa wakitetea nchi yao. Akasema wanawaombea mashujaa hao na watafanya hivyo kila siku.

Five US troops die in training air crash in eastern Mediterranean

View attachment 2812232
Mleta mada, hebu turia kidogo, Hao masoja wamekufa kwenye training, sio kwenye active combat na Hezbollah, jifunze kizungu vzr,
 
Sayyed Hassan Nasrala katika hotuba yake wiki iliyopita aliionya Marekani kutokana na uungaji wake mkono maafa kwa wapalestina akiiambia kuwa tayari wana kitu mkononi kwa meli zake za kivita zilizotia nanga karibu na nchi hiyo.

Kitu hicho kizito inaaminika ni aina ya makombora mazito ya kuzamisha meli ambayo imeshayapokea kutoka Urusi kupitia Syria.

Makombora hayo inasemekana ni Yakhont missile yenye uwezo wa kupiga mpaka kilomita 300. Pamoja na makombora hayo Hizbollah tayari ina droni nyingi na ambazo wameshaanza kuzitumia kulenga maeneo ya kaskazini ya Israel na kusababisha hasara kwa vikosi vya IDF.

Hapo jana jeshi la Marekani limeomboleza vifo vya askari wake 5 katika eneo la Magharibi ya Lebanon ndani ya bahari ya Mediterraneo.

Katika taarifa ya jeshi hilo imeelezwa kuwa maafa hayo yaliyokea baada ya helkopta iliyokuwa kwenye mazoezi kudondoka baharini.

Akitoa pole kwa familia za askari hao Rais Biden amesema askari hao wamekufa kishujaa wakitetea nchi yao. Akasema wanawaombea mashujaa hao na watafanya hivyo kila siku.

Five US troops die in training air crash in eastern Mediterranean

View attachment 2812232
Wapigwe mawe Hao mashoga
 
Kambi ya magaidi wa Marekeni iliyopo Iraq na Syria zimepata shambulio Kali na kusababisha magaidi 5 wa Marekani kuuwawa jana Helicopter zaidi ya kumi zilikua zifanya kazi ya kuwabeba majeruhi kuwapeleka Baghdad kwa matibabu
 
Sayyed Hassan Nasrala katika hotuba yake wiki iliyopita aliionya Marekani kutokana na uungaji wake mkono maafa kwa wapalestina akiiambia kuwa tayari wana kitu mkononi kwa meli zake za kivita zilizotia nanga karibu na nchi hiyo.

Kitu hicho kizito inaaminika ni aina ya makombora mazito ya kuzamisha meli ambayo imeshayapokea kutoka Urusi kupitia Syria.

Makombora hayo inasemekana ni Yakhont missile yenye uwezo wa kupiga mpaka kilomita 300. Pamoja na makombora hayo Hizbollah tayari ina droni nyingi na ambazo wameshaanza kuzitumia kulenga maeneo ya kaskazini ya Israel na kusababisha hasara kwa vikosi vya IDF.

Hapo jana jeshi la Marekani limeomboleza vifo vya askari wake 5 katika eneo la Magharibi ya Lebanon ndani ya bahari ya Mediterraneo.

Katika taarifa ya jeshi hilo imeelezwa kuwa maafa hayo yaliyokea baada ya helkopta iliyokuwa kwenye mazoezi kudondoka baharini.

Akitoa pole kwa familia za askari hao Rais Biden amesema askari hao wamekufa kishujaa wakitetea nchi yao. Akasema wanawaombea mashujaa hao na watafanya hivyo kila siku.

Five US troops die in training air crash in eastern Mediterranean

View attachment 2812232
Wewe ni sawa na yule ng'ombe wa Mayele.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hivi nyerere kwa nini alisema tutumie kiswahili? Ona tabu tunayopata kwa huyu mleta mada kutokujua tafasiri ya kilichoandikwa?

Watu wanapata ajali kwenye mazoezi, yeye anaandika wameingia kwenye 18 za hizbolllah!

Rudi madrasa ukafundishwe hata google translation
Kwenye madrasa hayo hayafundishwagi huko.
 
Siwezi kujibu matusi kwasababu sina moyo wa kigaidi ila mwambie jamaa yako arudi shule itamsaidia kujua historia ya middle East
Tunachobishania ni Nini hasa?
Screenshot_20231015-235344.png
Screenshot_20231016-001030.png
Screenshot_20231014-231529.png
 
Sayyed Hassan Nasrala katika hotuba yake wiki iliyopita aliionya Marekani kutokana na uungaji wake mkono maafa kwa wapalestina akiiambia kuwa tayari wana kitu mkononi kwa meli zake za kivita zilizotia nanga karibu na nchi hiyo.

Kitu hicho kizito inaaminika ni aina ya makombora mazito ya kuzamisha meli ambayo imeshayapokea kutoka Urusi kupitia Syria.

Makombora hayo inasemekana ni Yakhont missile yenye uwezo wa kupiga mpaka kilomita 300. Pamoja na makombora hayo Hizbollah tayari ina droni nyingi na ambazo wameshaanza kuzitumia kulenga maeneo ya kaskazini ya Israel na kusababisha hasara kwa vikosi vya IDF.

Hapo jana jeshi la Marekani limeomboleza vifo vya askari wake 5 katika eneo la Magharibi ya Lebanon ndani ya bahari ya Mediterraneo.

Katika taarifa ya jeshi hilo imeelezwa kuwa maafa hayo yaliyokea baada ya helkopta iliyokuwa kwenye mazoezi kudondoka baharini.

Akitoa pole kwa familia za askari hao Rais Biden amesema askari hao wamekufa kishujaa wakitetea nchi yao. Akasema wanawaombea mashujaa hao na watafanya hivyo kila siku.

Five US troops die in training air crash in eastern Mediterranean

View attachment 2812232
naona unashangilia. ila mkipigwa pia mnakuja hapa kulalamika, hivi akili zenu zikoje?
 
ninachoogopa, kama kweli Russia amesema ana maintain relations with hamas, ni kwamba, hizi ni siku za mwisho kabisa. Mfalme wa kaskazini aliyeandikwa kwenye Biblia (yaani Russia atashirikiana na uturuki, syria) ataungana na mfalme wa mashariki yaani Iran na nchi zingine za asia (kama china), wataishambulia israel, na israel itapigwa sana. lakini hata hivyo, Mungu atashuka na kuisaidia mwisho wa siku na majeshi yao hayo yote 3/4 watafutwa. ni Neno lililotabiriwa na ukiona wale wafalme wa kaskazini na masharini wanaungana, waelewa changamkeni, mwenye kanisa amekaribia kuja, Mfalme wa wafalme, Bwana wa mabwana, Mungu wa kweli yupo malangoni.

Biblia imetabiri kwamba atakuja ghafla kama mwivi, kama mwenye nyumba angelijua siku ile mwivi atakuja, hakika angelikesha wala asingeiiacha nyumba yake kuvunjwa. siku za mwisho zimefananishwa na mtumwa mwaminifu

Lk. 12:43-59​

43. Heri mtumwa yule, ambaye bwana wake ajapo atamkuta anafanya hivyo.
44. Kweli nawaambia, atamweka juu ya vitu vyake vyote.
45. Lakini, mtumwa yule akisema moyoni mwake, Bwana wangu anakawia kuja, akaanza kuwapiga wajoli wake, wanaume kwa wanawake, akila na kunywa na kulewa;
46. bwana wake mtumwa huyo atakuja siku asiyodhani na saa asiyojua, atamkata vipande viwili, na kumwekea fungu lake pamoja na wasioamini.
47. Na mtumwa yule aliyejua mapenzi ya bwana wake, asijiweke tayari, wala kuyatenda mapenzi yake, atapigwa sana.
48. Na yule asiyejua, naye amefanya yastahiliyo mapigo, atapigwa kidogo. Na kila aliyepewa vingi, kwake huyo vitatakwa vingi; naye waliyemwekea amana vitu vingi, kwake huyo watataka na zaidi.
 
Back
Top Bottom