Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wota wewe.Propaganda wapi na mimi nimenukuu vyanzo unavyoviamini.Propaganda za Kitoto
😀😀Kwenye madrasa hayo hayafundishwagi huko.
ninachoogopa, kama kweli Russia amesema ana maintain relations with hamas,
Hizi Meli ni maalumu kwa vita ndogondoho,Kwa Vita kubwa hizi zitafichwa hazitaonekanaNa ndio zitapata hasara .natamani kuona destroyer ikizamishwa
hahaaaaaaaaa hii ni mpyaUwe na adabu.View attachment 2812308
Ajali tu ya kawaida hiyo, sio shambulizi.Meli za kisasa zaidi ndio zimepelekwa mstari wa mbele hapo.
Kwani Marekani anapigana na naniAkitoa pole kwa familia za askari hao Rais Biden amesema askari hao wamekufa kishujaa wakitetea nchi yao. Akasema wanawaombea mashujaa hao na watafanya hivyo kila siku.
We fala bila shaka kuna shimo mwilini mwako halipo sawaSayyed Hassan Nasrala katika hotuba yake wiki iliyopita aliionya Marekani kutokana na uungaji wake mkono maafa kwa wapalestina akiiambia kuwa tayari wana kitu mkononi kwa meli zake za kivita zilizotia nanga karibu na nchi hiyo.
Kitu hicho kizito inaaminika ni aina ya makombora mazito ya kuzamisha meli ambayo imeshayapokea kutoka Urusi kupitia Syria.
Makombora hayo inasemekana ni Yakhont missile yenye uwezo wa kupiga mpaka kilomita 300. Pamoja na makombora hayo Hizbollah tayari ina droni nyingi na ambazo wameshaanza kuzitumia kulenga maeneo ya kaskazini ya Israel na kusababisha hasara kwa vikosi vya IDF.
Hapo jana jeshi la Marekani limeomboleza vifo vya askari wake 5 katika eneo la Magharibi ya Lebanon ndani ya bahari ya Mediterraneo.
Katika taarifa ya jeshi hilo imeelezwa kuwa maafa hayo yaliyokea baada ya helkopta iliyokuwa kwenye mazoezi kudondoka baharini.
Akitoa pole kwa familia za askari hao Rais Biden amesema askari hao wamekufa kishujaa wakitetea nchi yao. Akasema wanawaombea mashujaa hao na watafanya hivyo kila siku.
Five US troops die in training air crash in eastern Mediterranean
View attachment 2812232
Kama unaakili unaweza kuona amesaidia.kwa sababu amepunguza uharibifu wa NATO Syria.urusi angekuwa na msaada, angeisaidia syria isiwe magofu kama ilivyo sasaivi.