Meli za kivita za Marekani zaingia kwenye 18 za Hizbullah, Askari watano waangamia

Propaganda za Kitoto
Acha wota wewe.Propaganda wapi na mimi nimenukuu vyanzo unavyoviamini.
Askari watano wa US wamekufa yawezekana ni kombora au droni kutoka Lebanon kwa vile hawakuweka wazi chanzo cha kutumbukia baharini kwa helkopta hiyo.
 
Akitoa pole kwa familia za askari hao Rais Biden amesema askari hao wamekufa kishujaa wakitetea nchi yao. Akasema wanawaombea mashujaa hao na watafanya hivyo kila siku.
Kwani Marekani anapigana na nani
 
Hezbollah hit the Israeli's Al-Dahira base by firing several Barkan missiles with a warhead of more than 500 kg.
 
urusi angekuwa na msaada, angeisaidia syria isiwe magofu kama ilivyo sasaivi.
 
We fala bila shaka kuna shimo mwilini mwako halipo sawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…