Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Hivi bangi pia unavuta?Mimi huwa sijali kitu, unanijua nilivyo mkorofi na mtukutu chapombe mzee wa mibangee.
Huwezi niweka kundi la unaowaelewa.
HauweziHivi bangi pia unavuta?
What if nakuelewa?
Tuna safari ndefu[emoji3064]
Unanisemea?[emoji23]Hauwezi
HapanaUnanisemea?[emoji23]
Nasinzia nikikuwaza ooohhHapana
Avatar yangu inamuonesha Mmasai bulicheka aliyepoteza dira, na jua linazama hana pa kulala... unaamini mimi ndo situation yangu hiyo?! Okay!... avatar yangu mbaya au nzuri?!Avatar inakupoteza mkuu [emoji23]
Hakuna mtu anaweka avatar mbaya
Hebu amka usisinzie ni asubuhi.Nasinzia nikikuwaza ooohh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu amka usisinzie ni asubuhi.
Kawaida wamasai ni wafugajiAvatar yangu inamuonesha Mmasai bulicheka aliyepoteza dira, na jua linazama hana pa kulala... unaamini mimi ndo situation yangu hiyo?! Okay!... avatar yangu mbaya au nzuri?!
Kubali kataa! We ni pisi [emoji39][emoji1786][emoji848]
Unaonekana tu
Kuna mtu anaitwa TUKANA UONE damu zetu zimekataana kabisaa yaani,JF members wengine wote fresh tu muishi miaka mia,na hata mkifa tukakutane tena mbinguni tuanzishe jukwaa lingine
[emoji1787][emoji1787]Mm namkubali sana Erythrocyte hasa pale anapomsifia mume wake mbowe