Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

nashukuru mzima [emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi baas.

Ushawahi kula papaiii tena liloivaa? Maana mie sitaki mlaji mgeni, kuanza kufundishanaa akuuuuh.

Mmenishinda [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Niangaike kuwatag wakati wakisikia mdundo wenyewe wanatoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bibi kashakiwasha hukooo...

ila bahati mbaya kaingia kwa gear ndo halafu yuko moodless, bahati yake mtoa mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…