ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Me naelewa hela tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uweeeeeeeeeeeeeeeeee...!! yule ugomvi ni sehemu ya maisha yake..!![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Siku hizi hapendi ugomvi ankol wangu
Shem we muoga kama kunguru vile [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Hata sijui alifanya kosaa gani, ila I'd yake imefutwaa.
[emoji24][emoji24][emoji24]
Hupitwiii mjukuu[emoji1787]Seat ya mbele kabisa, nipo na [emoji897]zangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee tenaa, huniogopiiii papai mie??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
nashukuru mzima [emoji419][emoji375]Hello,
Member gani amekuwa bora kwako kwa miaka yote ya JF au tangia umeingia na umekuwa ukimfuatilia na kijifunza kitu kupitia yeye.
Binafsi ni MSHANA JR na MPWAYUNGU VILLAGE.
Nisiyemuelewa ni GENTAMYCINE ujuaji na FAIZA FOX udini.
Karibu Unitajie memba unayevutiwa nae na sababu na memba usiyemuelewa.
Hii ndo Faransa nesema nafata bichi ndogo
mapapai ni matamu mno[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi baas.
Ushawahi kula papaiii tena liloivaa? Maana mie sitaki mlaji mgeni, kuanza kufundishanaa akuuuuh.
mapapai yote changa na bivu nishatumia sana[emoji23]
Natamani tuzungumze private basi vile umeifunga
Bibi kashakiwasha hukooo...Niangaike kuwatag wakati wakisikia mdundo wenyewe wanatoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahah
Uweeeeeeeeeeeeeeeeee...!! yule ugomvi ni sehemu ya maisha yake..!!