Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Hello,

Member gani amekuwa bora kwako kwa miaka yote ya JF au tangia umeingia na umekuwa ukimfuatilia na kijifunza kitu kupitia yeye.

Binafsi ni MSHANA JR na MPWAYUNGU VILLAGE.

Nisiyemuelewa ni GENTAMYCINE ujuaji na FAIZA FOX udini.

Karibu Unitajie memba unayevutiwa nae na sababu na memba usiyemuelewa.
nashukuru mzima [emoji419][emoji375]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi baas.

Ushawahi kula papaiii tena liloivaa? Maana mie sitaki mlaji mgeni, kuanza kufundishanaa akuuuuh.

Mmenishinda [emoji119][emoji119][emoji119]
 
Niangaike kuwatag wakati wakisikia mdundo wenyewe wanatoka [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bibi kashakiwasha hukooo...

ila bahati mbaya kaingia kwa gear ndo halafu yuko moodless, bahati yake mtoa mada
 
Back
Top Bottom