Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tena akifika yule mwana simba genta, atamwaga ubongo wa mtu hapa
Ngoja aje tu
Mnamuogopa wenyewe jamaa anajua kila kitutena akifika yule mwana simba genta, atamwaga ubongo wa mtu hapa
Ngoja aje tu
Ndo nimesema huu uzi utaishia patamuuu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We uoni amechokozwa kwa kuambiwa anajifanya mjuaji wa kila kituMnamuogopa wenyewe jamaa anajua kila kitu
Watag ili wajeWatafufuka watu kutoka makaburi ya chuki kuja kukiwasha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawasubiri kwa hamu
Nyie nyoooka mko wapi?!!! Mje mtupe burudani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Watag ili waje
Hahahah! kumbe unaogopaa?Akhu watag wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Weka hakiba ya maneno ankoQmmmmmQe
Hangaya simuelewi tangu auze bagia za Kijiji
Ushaanzaa nawee sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Watafufuka watu kutoka makaburi ya chuki kuja kukiwasha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nawasubiri kwa hamu
Nyie nyoooka mko wapi?!!! Mje mtupe burudani [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahah! kumbe unaogopaa?
Memba wote wenye itikadi za kichawa kama Lucas mwashambwa FaizaFoxy CM 1774858 siwafagilii hata kidogo
Ushaanzaa nawee sasa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwan emu twende kulee, tukabonge vizurii
Yaan unavoni nyanyasaa na huo umbea sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Udugu niwacheeeee THITAAAKI mbona wapenda kunitafutia hekaheka weyeeeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan unavoni nyanyasaa na huo umbea sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bas twende nikakupe code ya kuweka shillings.
Afu unajua I'd ya wizoo imefutwaa??