Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namuelewa zaidi Mpwayungu VillageHello,
Member gani amekuwa bora kwako kwa miaka yote ya JF au tangia umeingia na umekuwa ukimfuatilia na kijifunza kitu kupitia yeye.
Binafsi ni MSHANA JR na MPWAYUNGU VILLAGE.
Nisiyemuelewa ni GENTAMYCINE ujuaji na FAIZA FOX udini.
Karibu Unitajie memba unayevutiwa nae na sababu na memba usiyemuelewa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie na shem wako tunawezana wenyewee.
Anakuzuga [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa nini cheupeHuu uzi lazima utaleta ugomvi [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hata mimiWengine hapa tunasoma tu 'komenti'.
🤣🤣🤣Funguo nimetulia nazo hapaItakuwa unao wengi bro ila sisi tunajua sisy Joh ndio maza house, hao wengine wezi wakae kwa kutulia [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
Namuangalia tuu🤣Bora ulivyofika sisy, umemuona shem michezo anayotuchezea hapa [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji1787]
Kwa nini cheupe
Namuangalia tuu[emoji1787]
All in All.Akili kubwa zinaongelea maendeleo.
Akili za kawaida zinaongelea matukio.
Akili ndogo zinaongelea watu.