FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Kwani ulilazimishwa unielewe?All in All.
Mimi sikuelewi.
Maoni yangu lakini.
Akili kubwa,ndogo,kawaida hainihusu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani ulilazimishwa unielewe?All in All.
Mimi sikuelewi.
Maoni yangu lakini.
Akili kubwa,ndogo,kawaida hainihusu
Na ndio maana nikasema memba nisiyemuelewa Jf ni wewe na nilatoa sababu hasa ya dini..Kwani ulilazimishwa unielewe?
Mbona unajipinga sasa, kama hunielewi hayo yote umeyaelewa vipi? Au wewe mwenyewe ndiyo hujielewi?Na ndio maana nikasema memba nisiyemuelewa Jf ni wewe na nilatoa sababu hasa ya dini..
Una udini.mwingi na kutuaminisha vitu Vya kipumbavu kwa itikadi zako zisizoeleweka.
Na kuutetea mkataba wa DP WORLD
Kuna saa najielewa na kuna saa sijielewi
Sikuelewi,itoshe kusema hivyo.Mbona unajipinga sasa, kama hunielewi hayo yote umeyaelewa vipi? Au wewe mwenyewe ndiyo hujielewi?
Unaelewa mtu anaposema sikuelewi lakini?Mbona unajipinga sasa, kama hunielewi hayo yote umeyaelewa vipi? Au wewe mwenyewe ndiyo hujielewi?
Swadaktaaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ko akazane kutafuta pesa mjini cha bure pumzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi wamjua wamsikia?? Kuna eneo huwa ananikamataa ujanja wangu wotee huwa unafichwaa kwa mudaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Unamuonea sana shem, mwenyewe mpole hana makuu
Njoo tubadilishane udugu nikupe CW [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
naelewa kuwa hanielewi. Haeleweki mtu anaposema hanielewi halafu wakati huohuo ananieleza features zangu njema kabisa.Unaelewa mtu anaposema sikuelewi lakini?
coca nionjeshe utamu wa papai😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee umeshindwaa kabisaaa??
coca nionjeshe utamu wa papai[emoji23]
Umri ushaenda .naelewa kuwa hanielewi. Haeleweki mtu anaposema hanielewi halafu wakati huohuo ananieleza features zangu njema kabisa.
Unataka kusemaje,haueleweki mbonaUnataka kumuelewa kila mtu, kwani kuna NECTA ya kuelewa watu?
Mpka nimepaliwa dahMagonjwa Mtambuka namdiss sana, bila kumsahau Lucas mwashambwa ambaye niko naye ofisi moja, maana job kuna pimbi ana jina kama hili
nimeingia mzima mzima😂Una hangover bado [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hivi wamjua wamsikia?? Kuna eneo huwa ananikamataa ujanja wangu wotee huwa unafichwaa kwa mudaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yu nouu??
Ndiyo maana hujaelimika, kumbe ulikuwa huelewi unachokisoma.Umri ushaenda .
Niko hivi tulipokuwa darasani tukisoma ,tulikuwa kuna masomo hatuyaelewi ilhali tunayasoma.
So kusema neno mtu haumuelewi Ina maana unajua anachokifanya Ila kwako hakina msaada na unakipuuza.
Ndo maana nikasema SIKUELEWI
na mimi sikukubali piaUhu ni uchonganishi kiukweli simkubali mshamba_hachekwi kabisa