Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Kwani ulilazimishwa unielewe?
Na ndio maana nikasema memba nisiyemuelewa Jf ni wewe na nilatoa sababu hasa ya dini..

Una udini.mwingi na kutuaminisha vitu Vya kipumbavu kwa itikadi zako zisizoeleweka.

Na kuutetea mkataba wa DP WORLD
 
Na ndio maana nikasema memba nisiyemuelewa Jf ni wewe na nilatoa sababu hasa ya dini..

Una udini.mwingi na kutuaminisha vitu Vya kipumbavu kwa itikadi zako zisizoeleweka.

Na kuutetea mkataba wa DP WORLD
Mbona unajipinga sasa, kama hunielewi hayo yote umeyaelewa vipi? Au wewe mwenyewe ndiyo hujielewi?
 
Mbona unajipinga sasa, kama hunielewi hayo yote umeyaelewa vipi? Au wewe mwenyewe ndiyo hujielewi?
Sikuelewi,itoshe kusema hivyo.

Ninasoma unavyoandika ,

Itikadi zako.

Ila nadhani kwa sasa uko nje na muda jf watakuelewa waliojiunga miaka ya 2009.

Hakuna kipya ulichonacho
 
Unataka kumuelewa kila mtu, kwani kuna NECTA ya kuelewa watu?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Unamuonea sana shem, mwenyewe mpole hana makuu

Njoo tubadilishane udugu nikupe CW [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
Hivi wamjua wamsikia?? Kuna eneo huwa ananikamataa ujanja wangu wotee huwa unafichwaa kwa mudaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yu nouu??
 
naelewa kuwa hanielewi. Haeleweki mtu anaposema hanielewi halafu wakati huohuo ananieleza features zangu njema kabisa.
Umri ushaenda .

Niko hivi tulipokuwa darasani tukisoma ,tulikuwa kuna masomo hatuyaelewi ilhali tunayasoma.

So kusema neno mtu haumuelewi Ina maana unajua anachokifanya Ila kwako hakina msaada na unakipuuza.

Ndo maana nikasema SIKUELEWI
 
Hivi wamjua wamsikia?? Kuna eneo huwa ananikamataa ujanja wangu wotee huwa unafichwaa kwa mudaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Yu nouu??

Bado unamuonea huyo nipe mimi mpole mwenzie, we mchukue CW [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Umri ushaenda .

Niko hivi tulipokuwa darasani tukisoma ,tulikuwa kuna masomo hatuyaelewi ilhali tunayasoma.

So kusema neno mtu haumuelewi Ina maana unajua anachokifanya Ila kwako hakina msaada na unakipuuza.

Ndo maana nikasema SIKUELEWI
Ndiyo maana hujaelimika, kumbe ulikuwa huelewi unachokisoma.

An uneducated fool from an uneducated school.
 
Back
Top Bottom