Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Memba yupi unamuelewa na usiyemuelewa JF?

Hakuna uzi wa hivi nilishawahi kutajwa. Niseleweki na najua huwa sirembi mtu akizingu huwa nachana tu.

Nafurahi kuwa nilivyo.
 
Mjep

Babe, laazizi, mahabhubha, nyonga mkalia ini, sema neno 1 tyuuh nafsi yangu ipate kuponaa, usisahau kusindikiza na kile nachokupendeagaa, Kunogesha zaidi huba letuu.

[emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]
 
Mjep

Babe, laazizi, mahabhubha, nyonga mkalia ini, sema neno 1 tyuuh nafsi yangu ipate kuponaa, usisahau kusindikiza na kile nachokupendeagaa, Kunogesha zaidi huba letuu.

[emoji8][emoji8][emoji182][emoji182][emoji182]

Shem Mjep ukimjibu nakwambia hunipati!!! Jaribu uone [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hivii wee huogopiiii???

Niogopee nini??? Wewe bi mkubwa mimi nakua bi mdogo tunamlea mume, shida iko wapi???

Hebu acha kufanya mambo kuwa magumu, tulia tudumishe udugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Niogopee nini??? Wewe bi mkubwa mimi nakua bi mdogo tunamlea mume, shida iko wapi???

Hebu acha kufanya mambo kuwa magumu, tulia tudumishe udugu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unikomeeeeee uduguuu sitakiiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tulia wewe [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nawee unaumiaa? Sasa tukio alilonipiga huyo Mjep ningekua na roho ndogo tungeachanaa mdaa, kuwa mvumilivu wee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Simtakiii huyooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Utamtaka tyuu [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nakutania udugu hata kwa nini simgawi Kantri wangu kwa yeyote, nampenda pamoja na drama zake [emoji182][emoji182][emoji182][emoji8][emoji8]

Kwanza nimuachie nani zile show zake za kibabe?!!! Sema kesi zake lazima asomewe na dada mkubwa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom