Uchaguzi 2020 Membe akanusha kuiunga mkono CHADEMA, yeye ndiye Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo

Uchaguzi 2020 Membe akanusha kuiunga mkono CHADEMA, yeye ndiye Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo

Tena wakimchomoa watakuwa wamemsaidia kupunguza hasara atakayoipata yeye binafsi kuliko ACT wazalendo sabab ACT wazalendo lazima watavuna wabunge kule Zenji! Lakin yeye BM hata akiendelea hatoweza kufika popote, upepo wa Lissu hauzuiliki hata CCM wanapata taabu sana!
Atapoteza pesa tu, Membe angeweza kama Lissu hangetokea, kitendo cha kugoma kumuunga lisu, kinamfunua wazi, kuwa Act walibugi step
 
Katika uhalisia Mzee Membe hakuna anachokifanya mda umeyoyoma na hela hana, bora haunge juhudi za Viongoz wake kwa Lissu. Mengine ni mbwembwe za kushindwa kuipokea hii aibu.
 
Membe ndie ameshtukia mchezo mzima,makubaliano Membe angepigiwa kampeni na ACT. Lakini akajikuta yeye peke yake.Hata matayarisho ya msingi amepuuzwa na chama.

Nae Membe akazuga kwenda kutafuta pesa,aliporudi mikono mitupu,wakaona hana faida tena wakabidi wamtose.Cha ajabu ameamua kufa na tai shingoni NO RETREAT NO SURRENDER.hadi kieleweke.
 
Unatia Aibu. Hama basi. Nenda Mombasa. Hapa kazi tu. Muda wa taarabu umekwisha.
Kumbe mlikuwa mnatupigisha taarabu muda wote huo? Mwambie bi mkubwa aje kwanza kwangu afu nitahamia nae. Mombasa .wewe kidudu mtu unayeishi kwa huku 7 unaniambiaje mm kulipa kodi ni hanmie nchi
 
Membe amebadirika sana . Watu na ACT hawakumtegemea kabisa !

Hafanyi kampeni , hasemi lolote wala haonekani akiwasupport wagombea wa ACT.

Vivyo hivyo uongozi wa ACT hawatoi kauli yoyote kuhusu Membe. Wapo kimya tu.
 
Ipo hivi CDM na ACT this time waliamua kupima upepo wa Membe na Lissu...wakaingiza wote kwenye mchakato ili kuona bendera itapepea wapi...ingepepea kwa Membe Lissu angemuunga mkono Membe ila kwa sasa imeenda upande wa Lissu ACT wameamua kumuunga mkono Lissu..

Sheria mpya ya uchaguzi inavitaka vyama pinzani kuungana miezi 3 kabla...wangefanya hivyo CCM wangenunua watu kama vile Slaa na Lipumba na wangewachezea mchezo mchafu mapema.

Kifupi ACT na CDM this time wameplay very smart game na wamekwepa mtego wa CCM.
 
Ipo hivi CDM na ACT this time waliamua kupima upepo wa Membe na Lissu...wakaingiza wote kwenye mchakato ili kuona bendera itapepea wapi...ingepepea kwa Membe Lissu angemuunga mkono Membe ila kwa sasa imeenda upande wa Lissu ACT wameamua kumuunga mkono Lissu..

Sheria mpya ya uchaguzi inavitaka vyama pinzani kuungana miezi 3 kabla...wangefanya hivyo CCM wangenunua watu kama vile Slaa na Lipumba na wangewachezea mchezo mchafu mapema.

Kifupi ACT na CDM this time wameplay very smart game na wamekwepa mtego wa CCM.
Ndio maana maccm na makuwadi wao wamechanganyikiwa. Sheria inazungumzia kuungana, haizungumzii kitu chochote kuhusu kushirikiana. Ndio maana mwanzo nikasema kuwa maccm na mawakala wao: NEC na Msajili wametega mtego ukawanasa wenyewe. Itabidi waishi na hili tatizo na wajifunze kutotunga sheria na kanuni kwa kuvilenga vyama vya upinzani. Siku moja hata wao watakuwa wapinzani.
 
Boss wake ambaye ni Maalim Sefu ameshasema Rais wao ni Lissu. Ila mjue Magufuli ndiyo Rais wa Watanzania.
Kwani 2015 Magu alishinda..Lowassa alitaka kuliamsha wakamleta TB Joshua..safari hii wamlete hata Pope kinanuka mpaka waseme poo
 
Ipo hivi CDM na ACT this time waliamua kupima upepo wa Membe na Lissu...wakaingiza wote kwenye mchakato ili kuona bendera itapepea wapi...ingepepea kwa Membe Lissu angemuunga mkono Membe ila kwa sasa imeenda upande wa Lissu ACT wameamua kumuunga mkono Lissu..

Sheria mpya ya uchaguzi inavitaka vyama pinzani kuungana miezi 3 kabla...wangefanya hivyo CCM wangenunua watu kama vile Slaa na Lipumba na wangewachezea mchezo mchafu mapema.

Kifupi ACT na CDM this time wameplay very smart game na wamekwepa mtego wa CCM.
Smart game in the eyes of dunderheads.
 
unajichanganya.... sio mamluki wa ccm tena?
Rudia kusoma ulichoandika mwanzo?

Mteyiz the owner of chadema ni mstaafu mwenye kiapo cha kutoisaliti serikali.... DJ nae maafisa... wabunge kibao maafisa..

Inabidi uwe zombie ndio utashangilia upinzani TZ[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

kama una akili timamu simama na ccm

Viva Magu
Nilichoandika nimesema ni mamluki wa ccm ila kwa maneno tofauti...
Pole kwa kuvurugwa.... Na bado mkuu mtavurugika sn safari hii......

Membe kachero mbobezi bado pyslip yake inasoma vzr kabisa

Tanzania imesimama na Tundu Lissu na haiko tayari kurudi nyuma
 
Sasa hivi unamuona Membe ni mradi wa ccm ila akitangaza kuiunga mkono chadema utajuja hapa na kushangilia na kusema ni jasusi mbobevu na tayari mmeshashinda.

Yani chadema mtu anaweza kuwachezea na kuwageuzageuza kama chapati muda wowote, mahali popote akitaka
Tulieni dawa iendelee kuwaingia kisawasawa.....
Sasa mmekua watu wa kulalamika kishamba kabisa....

Ccm yote inahangaika na kutapatapa kumjibu Tundu Lissu. Bahati mbaya sn hakuna mwenye uwezo na utashi wa kumjibu Tundu Lissu mnaishia kubwabwaja tu kuanzia mwenyekiti wenu mpaka mjumbe.....
 
Tanzania ni JPM kwa another 10 years....
Tuta adjust katiba kwa maoni ya wananchi walio wengi.

Pole mkuu .... hutopenda ila ndio uhalisia

Viva Magu 2020 to 2030
Nilichoandika nimesema ni mamluki wa ccm ila kwa maneno tofauti...
Pole kwa kuvurugwa.... Na bado mkuu mtavurugika sn safari hii......

Membe kachero mbobezi bado pyslip yake inasoma vzr kabisa

Tanzania imesimama na Tundu Lissu na haiko tayari kurudi nyuma
 
Tanzania ni JPM kwa another 10 years....
Tuta adjust katiba kwa maoni ya wananchi walio wengi.

Pole mkuu .... hutopenda ila ndio uhalisia

Viva Magu 2020 to 2030
Acha uzwazwa wa chato mkuu....

We msukule wa lumumba unataka ushahidi gani zaidi..... Mwambie aweke wazi mikataba na malipo..... Mtoto wa dada mlipaji na mtwasi ndo anayepewa kandarasi zote....


Ccm wakeshauza nchi kwa wazungu mikataba yote ni ya kinyonyaji....
Magufuli ndo kaja kupiga dili zaidi......yeye binafsi amenunua ndege kwa usiri mkubwa kwa manufaa yake yy na wazungu......

Ufisadi na magufuli ni dhahiri sn tunachosubiria ni actual figures tu...

Nyie ng'ombe ccm hakuna rafiki wa wazungu zaidi ya maccm.....
 
Lia na Lissu apate uraisi... jililie na hali yako.
Sintakuita zwazwa wala mzukule...

Mungu ametubariki kwa kutupa Magu

Viva Magu 2020 to 2030
Acha uzwazwa wa chato mkuu....

We msukule wa lumumba unataka ushahidi gani zaidi..... Mwambie aweke wazi mikataba na malipo..... Mtoto wa dada mlipaji na mtwasi ndo anayepewa kandarasi zote....


Ccm wakeshauza nchi kwa wazungu mikataba yote ni ya kinyonyaji....
Magufuli ndo kaja kupiga dili zaidi......yeye binafsi amenunua ndege kwa usiri mkubwa kwa manufaa yake yy na wazungu......

Ufisadi na magufuli ni dhahiri sn tunachosubiria ni actual figures tu...

Nyie ng'ombe ccm hakuna rafiki wa wazungu zaidi ya maccm.....
 
Mbona lisu hajajibu kwa nini dadake aliteuliwa viti maalum kwani wengine hawafai?
 
Back
Top Bottom