Uchaguzi 2020 Membe akanusha kuiunga mkono CHADEMA, yeye ndiye Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo

Uchaguzi 2020 Membe akanusha kuiunga mkono CHADEMA, yeye ndiye Mgombea Urais wa ACT-Wazalendo

Mkuu, kuna shoga hapo juu, limeni Quite likaandika Maneno ya ajabu ajabu kweli,

Nikuombe samahani mkuu, mandishi kama haya, hayatakiwi mtu mwenye akili na mwenye heshima kama wewe Kuya Quote,

Mkuu, tukirudi kwenye swali lako la msingi, ukweli upinzani upo, Ila haitawezekana kumshinda Magufuli, Hilo shikilia mkuu

Lolote linaweza kutokea,akishanda Lissu ni faida zaidi maana tutakuwa tumeondoa mfumo wa chama Dola,akishinda Magufuli kwa upinzani huu anopata ambao hakutegemea itakuwa na faida maana lile wazo la Ndugai na watu wake la kutaka kubadilisha katiba ili Magufuli atawale mpaka kifo kwa kigezo eti anapendwa nahisi watalifikiria Mara mbili kama si kuachana nalo kabisa. Kwa upande wa Magufuli hatobadilika tens hali zetu za kiuchumi zitakuwa mbaya zaidi ya miaka mitano ya mwanzo,huyu jamaa yenu no Jiwe kweli kweli
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Sasa hii ndio nini?

Membe hapigi kampeni kwasababu kakata tamaa na hana hela na anajua hawezi kushinda so hawezi kupoteza heka zake kwa kitu ambacho matokeo yake ni 0.

Membe angekuwa na akili za huo ukachero wake asingechukua form ya kugombea badala yake muda huu angekuwa anazunguka huko mikoani kumnadi Lisu.

Yani mtu kutopiga kampeni ndio kamuunga mkono Lisu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Only in chadema.

Membe haanini kama wale watz wakiompigia kelele za jasus mbobevu ndio hawa hawa hata kwenye kampeni zake hawatokei.

Tulia wewe MATAGA mwenye njaa. Hakukuwa uhakika kama hatokatwa kwa figisu za CCM na taasisi zake,mkaletrwa wagombea wawili wanaokalibiana nguvu nanyi mkaingia cha kike mkaeaacha wote wagawane kura kumbe imekula kwenu. Mtachochea moto weeee lakini Membe hafanyi kampeni hatakuwa anawajabisha huko Twitter ili mkose sababu za kuwatuma NEC na Msajili kuwashughulikia.
 
Kwani sasa hivi huo mfumo haupo?


Sasa hivi CCM ni chama Dola wala siyo chama cha siasa kina mizizi kwenye mizizi kwenye vyombo vyote vya ulinzi na usalama,Serikalini na kwenye taasisi za Serikali. Hali hii so afya kwa maslahi mapana ya wananchi na nchi maana waliopo madarakani(CCM) wanaamini wataendelea kutawala tu hata wakiharibu uchumi,kudhulumu na kunyanyasa wananchi. Tunahitaji mfumo ambao watawala watakuwa wanawaogopa wananchi kwamba wakivurunda wananchi(wenye nchi) watawato na kuwaweka wengine.

MATAGA mbaoba raha CCM ikiwa chama Dola kwa sababu tu mnaota kupewa udas,UDC,urc, bure kabisa nyie watu mnafikiria matumbo yenu na familia zenu tu.
 
hivi kwanini mnalilia kusaidiwa? mnataka mpigwe na jiwe moja wote kwa pamoja?waswahili tunasema ''ukiona kenge anatoa damu masikioni ujue anakufa'' hakika ndipo chadema ilipo.
Sio kaamua milkshakes hahaha
 
Huyu mende hajamaliza hata mwezi mmoja tangu awe mwanachama lkn keshaanza kuleta ukaidi kwa viongozi wake......
Yeye ni kambare kila mahali sio😄😄
 
Hata Kama vyama vyote vya upinzani kwasasa vikiungana bado havijawa na uwezo wa kumuangusha JPM. Vyama vya upinzani mwaka huu ni dhaifu kuliko miaka yote ya Hivi karibuni.
Unasema kweli? au ndio mahaba yamekuzidi!!!
 
Ila ACT ni wahuni yaani mnapitisha mgombea alafu mnakuja kuwa mnaungana na wakati mnasera na mkotayari kwenye harakati za uchaguzi ,mi nigeona wange ugana nao toka awali
 
Back
Top Bottom