Magufuli alikuwa rais wa miundo mbinu. Wengine walikuwa Marais wa kitu gani.Membe upo sahihi,Rais wa miundombinu alkuwa,na watu walipotea na kupigwa risasi hadharan na kuwambia polisi hakuna kuchunguza
Hakuwa na lolote la kuwaambia watanzania kwasababu hakuwa na rekodi inayomtangazaHayati Seif alimuuliza mbona picha za mfuriko kwenye kampeni unazidiwa hata na mzee wa ubwabwa?
Membe kama anajipa umaarufu huo mbona hatukona alipopata nafasi ya kugombea urais?
nafaham vzuri tu ndio maana nkatoa mfano wa WTO ambapo trump aliona km yule mnigeria atakua anaifavor china zaidi kuliko marekani ndio maana alitaka kublock uteuzi wake sa sijui shida iko wapi hapo?Bro nchi kubwa haziko kama wewe unavyofikiri. hawang'ang'anii hizo nafasi kwa ajili ya vyeo. wenyewe wanachoangalia ni ushawishi. Maana ukiwa katika mamlaka na ngazi ya maamuzi, basi ni rahisi sana ku influence any policy in your favor. Ni kama vile D. Trump anavyougombea urais, siyo kwa sababu ya njaa, bali ni kwa maslahi ya kibiashara. Tambua hilo.
CC: nankumene
Kwahiyo kwa akili yako ya kuvukia barabara magu kafa na wafuasi wake!!?Wanasiasa wa upinzani wengine wanapambana na kesi ya ugaidi wengine bado wako nje ya nchi pamoja na kwamba ni miezi zaidi 7 tangu Magufuli afariki. Sasa sijui bado anahangaika nao akiwa kaburini
Sent from my TECNO KE5 using JamiiForums mobile app
nafaham vzuri tu ndio maana nkatoa mfano wa WTO ambapo trump aliona km yule mnigeria atakua anaifavor china zaidi kuliko marekani ndio maana alitaka kublock uteuzi wake sa sijui shida iko wapi hapo?
Jamaa mnyamwezi wanguWewe kwanini unapenda sana kuhusudu watu wenye roho mbaya na makatili?[emoji848]
issue sio membe au nani, issue ni mtanzania yeyote kuwapo kwe organization kubwa km hizi, tatizo unaona km namshabikia membe no, nmeongelea position km position usifungwe na siasa ukashindwa kuwa na mtazamo huru mkuu ht km angekua polepole au bashiru ingekuwa jambo jema tuHivi wewe unadhani membe ndo anngekuwa katibu mkuu wa kwanza kutoka Tanzania? Alikuwepo Dr Wiliam Shija alikuwa katibu mkuu jumuia ya madola! Tulipata nini? Usijidanyanye na watu wa maneno mengi bila uzalendo ni bure mtabakia kulialia sheria na katiba mpya huku mkitaka kugawana madaraka lakini hamna dhamira ya kujenga taifa! Mmejaa unafiki!
Hata wewe ukitoka watashukuru hivyo hivyo maana kila nafsi itaonja mautiTUNAMSHUKURU sana MUNGU kwa matendo yake makuu aliyotutendea March 17th.
Wewe kwanini unapenda sana kuhusudu watu wenye roho mbaya na makatili?[emoji848]
Sanaaa. Huyu baba ni mwehu. Anaongea uharo. Anaji-contradict yeye mwenyewe ukimsoma between the line. Aache uwongo wake kwa CV gani mpaka aukwae ukatibu wa Jumuiya ya Madola.Msumbiji ni jirani wa kinafki nenda kaone jinsi watanzania wanavyonyanyaswa na kuteswa na askari wa msumbiji,ukisema ni mtanzania utajuta!
Pesa v/s Sphere of Influence
Membe alikuwa anataka pesa ajijenge kisiasa kwa msaada wa mabeberu hao v/s D. Trump alikuwa anataka mtu wake ili apate ushawishi katika chombo hiki muhimu.
membe ana motives zake hilo liko wazi, sema yule mdau niliemjibu yeye kadai both membe na issue ya kuongoza hizi taasisi vyote havina maana yeyote kitu ambacho si kweli, membe kadandia tu issue ya msingi akataka kutake advantage, mi nlikua tu naongelea position yenyew na si membe personally,Mtu kihiyo pekee atamuamini huyo zoba Membe. Tangu lini hawa wapuuzi wakawa na uchungu na watu wa nchi hii zaidi ya kutanguliza maslahi yao. Mi naona kaongea utumbo wa kuku.
Haya anayosema Membe yanaweza kuwa ya kweli au uongo ukizingatia anayasema wakati upande wa pili haupo.
"MAREHEMU asemwi mtu ukifa kitabu chako kimefungwa"
Amewahi kusema akiupata ukuu kuna watu wangehama nchi.Kwa sababu na yeye ana roho mbaya na ya ukatili ila hajapata tu nafasi nzuri ya kufanya hivyo.