Fundi Mchundo
Platinum Member
- Nov 9, 2007
- 10,448
- 8,705
Sasa kwa nini kaichomekea? Heshima kwa nchi yake inaeleweka lakini hilo la mabilioni ya paundi........siyo fedha kwa ajili ya kudumbukiza kwenye mifuko yake au ya Watz.
..hiyo ni bajeti ya commonwealth secretariat ambayo inaongozwa na katibu mkuu wa jumuiya.
..sehemu ya fedha hizo ni kwa ajili ya MIRADI mbalimbali ktk nchi wanachama wa jumuiya.
Watanzania tulijivunia Asha Rose alipopata cheo UN lakini sidhani kama nchi tulifaidika sana. Au Tibaijuka alipokuwa Habitat. Mbali na watu wachache kupata kazi Habitat sijui tulifaidika vipi. Hata hivyo niko tayari kuelimishwa kuhusu hili.
Amandla...