Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
- Thread starter
-
- #41
Membe siyo CCM, ni mtu huru, alishafukuzwa CCM.
Membe ni tofauti na Lowasa, Lowasa alishindwa kuikosoa CCM akiwa ndani, wakati Membe kamkomalia jiwe humohumo ndani ya CCM.
Kwa kweli Membe ni mpinzani kuliko Waitara, Kafulila, Katambi, Kitila Mkumbo, Mtatiro, Dr Slaa, Mama Mghwira na wengine wengi waliounga mkono juhudi!
Miaka mitano iliyopita wapinzani uliowaamini leo wako CCM
kwa hiyo Chill out, Siasa ni sayansi, ni mchezo wa kuzichanga karata kwa hiyo stay tuned watch the game!.
Hata Maalim Seif amewahi kuwa CCM leo ni mpinzani nguli
Na ndio maana wana CCM humu JF wanamlilia Jasusi Membe kwa hali na mali awe rais kupitia CCM.Tuliza akili bro, huyu jamaa ni jasusi na ana mbinu zote za kuwezesha upinzani kushinda uraisi mwaka huu. Ni karata turufu
Yale yale ya lowassa ivi chadema mmelogwa,mnavyo fikili membekafukuzwa kweli cc.t ngoja nipite
Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
Sawa mkuuWewe tulia, Membe ndio chaguo letu hutaki kaa kimya
Umesahau kuwaambia kuwa inawezekana kinachoendelea ni mchakato wa kijajusi.Tuliza akili bro, huyu jamaa ni jasusi na ana mbinu zote za kuwezesha upinzani kushinda uraisi mwaka huu. Ni karata turufu
Na Membe baada ya kuona Chadema wamemshtukia janja yake anaanza story za wapinzani watengeneze 'Grand Coalition' bla bla blah kibao.Kuzidi Lowasa? Sidhani! Unfortunately hataweza kugombea maana CCM wamemfungia .. blocked. Upinzania labda ACT, CDM wanaogopa mjusi baada ya kuumwa na Nyoka Lowasa
Kwanza kunipa chama unakosea sana, upinzani upo mioyoni mwetu, hatunaga sana siasa za uvyama
Pili, Membe anwezaje kuanzisha chama sasa ivi? Lengo la upinzani ni kupata candidate mzuri ambaye anaweza kutuvusha kwa huyu jiwe na Membe ndio karata turufu kwa sasa
Upinzani tupo tayari kuunganisha nguvu na mtu yoyote ambae yupo tayari kumuondoa jiwe
atafanya nini? hana jeshi kuwa ngoja nikiwashe... atafanya nini? Maalim Seif alifanya nini?sidhani kama atakubali usuluhishi
Aende Tadea maana tayari kipo, na kwakuwa ana mvuto tutaona hizo kura atakazozipeleka.
Hata Lowasa ilikuwa huvihiviHuyu ana haiba, ana hekima na busara
atafanya nini? hana jeshi kuwa ngoja nikiwashe... atafanya nini? Maalim Seif alifanya nini?
Miaka mitano iliyopita wapinzani uliowaamini sana leo wamehamia CCM!
kwa hiyo Chill out, Siasa ni sayansi, ni mchezo wa kuzichanga karata kwa hiyo stay tuned watch the game!.
Hata Maalim Seif amewahi kuwa CCM leo ni mpinzani nguli.
Kama Nyalandu aliyetokea CCM anataka urais kupitia Chadema kwa nini Membe kama akijiunga upinzani asiwe na haki hiyo?
Bora mpinzani ninayemuamini sana ahamie ccm, kuliko kumuamini mgombea toka ccm. Sina popote ninapomkubali Nyalandu. Membe ajiunge TADEA au APPT MAENDELEO maana hao wote ni upinzani ili tuone huo mvuto wake.
Kwa nn aende tadea? Membe kazi yake ninkuongeza nguvu kwenye chama chenye nguvu, hivyo chadema ni sehemu sahihi kabisa kwa huyu jasusi mbobezi
Amvukishe nani wakati Tanzania tayari TULISHAVUKISHWA NA magufuli?Nimefuatilia na kumsikiliza kwa makini sana Mh.Membe(jasusi mbobezi) na nimekubaliana nae kuwa anaweza kuwa mtu sahihi sana kuliko wagombea wengine wa upinzani.
Membe ana uwezo wa kujenga hoja na ikakubalika hii ni kutokana na ujasusi wake hivyo ni faida kubwa sana kwa upinzani
Membe ana utumishi uliotukuka ukilinganisha na wagombea wengine wa upinzani, hivyo kuna faida nyingi kuwa mgombea wetu wa upinzani.
Membe ni mwanadiplomasia nguli na anaweza kuirudisha Tanzania mahali ilipokuwa kimataifa.
Membe ni karata turufu sana kwa wakati huu kwa kuwa ameshajimbambanua kupambana na Magu, hivyo ameshajiandaa na uraisi.
Upinzani tumpe nafasi membe apeperushe bendera yetu kuliko kuwaachia wengine ambao sidhani kama wana ushawishi kama Membe
#2020upinzani na jasusi mbobezi#
Maalim Seif alikuwa CCM na ninamkubali sana
Amvukishe nani wakati Tanzania tayari TULISHAVUKISHWA NA magufuli?
Pamoja na hilo tayari tuko kwenye uchumi wa kati.