Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kumbe hujamjua Membe, hawezi kujihusha na utumikaji kama wa lowasa, yeye ana misimamo yake.Kipimo kizuri cha kujua usafi wa nia ya Membe ni yeye kutusaidia kwenye kampeni ya kumnadi Commander LISSU!
Lowasa alikuwa Jasusi?Kuzidi Lowasa? Sidhani! Unfortunately hataweza kugombea maana CCM wamemfungia .. blocked. Upinzania labda ACT, CDM wanaogopa mjusi baada ya kuumwa na Nyoka Lowasa
Kumbe huwa hamjifunzi tu? Why msirecruit wanachama wenu ambao mmetoka nao mbali na die hard fans wa vyama vyenu? Kwa kufuata huu upepo na gesi ya Pepsi,CCM itaiongoza nchi hii kwa miaka mingine 30 au 50 ijayo
Ndugu yangu mimi ni CHADEMA damu! Nasema kuwa tutashinda na wasitutangaze, tutafanya nini? ndiyo hoja yanguKwa hiyo mnategemea vyombo vya ulinzi kushika nchi. Kama Mh. Rais kafanya mambo mazuri yanini mtegemee vyombo vya dola kuingia ikulu? kwanini msiache free and fair election izungumze..
Ukweli ni uleule bila mbeleko za vyombo vya ulinzi CCM ni mdogo sana kwa vyombo vya upinzani...
Sijui, lkn kama jasusi uko nje ya system sidhani kama itasaidia!Lowasa alikuwa Jasusi?
Na inawezekana CCM wanacheza akili za upinzani,binafsi nitakuwa wa mwisho kuamini kuwa Bernard anamgogoro na ccmTanzania itakuwa chini ya kwa zaidi ya miaka 50 ijayo,ndio ukweli ingawa unauma!!huwezi kumtenganisha Membe na CCM!!!UPinzani ukiingia kwenye tego hilo basi
UKAWA was one of such coalition!'Grand Coalition'
Wewe Nani usie muhitaji? Kwani wewe Ni mboweNi kweli anaweza kuwavusha uko ccm sisi huku upinzani hatumuhitaji.
Kama kweli mnampenda mpeni nafasi huko ccm.
Mwaka huu upinzani ukipokea kapi ndio utakuwa umejizika rasmi.
Never WILL.UKAWA was one of such coalition!
Jasusi kafanikiwa kufukuzwa ccm sio.Tuliza akili bro, huyu jamaa ni jasusi na ana mbinu zote za kuwezesha upinzani kushinda uraisi mwaka huu. Ni karata turufu
Kwa kuwa akili ni nywele na kila mtu ana zake basi tubali kutokukubaliana katika hili bila shari wala chuki.Magufuli amvushe nani, uchumi wa kati kwa vilaza ndio wanakolea na hiyo swagga.
Tuliza akili bro, huyu jamaa ni jasusi na ana mbinu zote za kuwezesha upinzani kushinda uraisi mwaka huu. Ni karata turufu
Hawa si ndo wale wanavuruga makusudi uwape vitu vya uso kisha waanze kukulaumu kwa kuingilia uhuru wao wa kutoa mawazo.Wanapenda kweli kutumia hiyo kinga.Pesa Ya Gaddafi, RIP,
Utasemaje Eti utumishi wake umetukuka?
Pesa Ya Gaddafi, RIP,
Utasemaje Eti utumishi wake umetukuka?