Uchaguzi 2020 Membe au Lissu msisahau kuusema uozo wa "undugunaization", tribalism na nepotism wakati wa Kampeni

Uchaguzi 2020 Membe au Lissu msisahau kuusema uozo wa "undugunaization", tribalism na nepotism wakati wa Kampeni

Hao jamaa bado wapo sana na huna cha kufanya walichofanya wameacha kutumia majina za koo zao tu ili boya kama ww usijue. Na walivyo na akili wamekimbilia pia kwenye biashara zote muhimu. Huko hamuwezi kushindana nao. Hadi nakuhurumia maana matamanio yako hayatafanikiwa. Kasome Historia ya Jews Europe walipotengwa na kilichotokea.
Nyie ni Jews? Pimbi fulani tu waliopendeleana kikabila tangu enzi za mwalimu nchi ikiwa imelala mtasemaje,hata msandawe akimwuuliza atakwambie nyie ni ny.ko kwa ukabila,tulizeni mzuka
 
Nyie ni Jews? Pimbi fulani tu waliopendeleana kikabila tangu enzi za mwalimu nchi ikiwa imelala mtasemaje,hata msandawe akimwuuliza atakwambie nyie ni ny.ko kwa ukabila,tulizeni mzuka
Watu walioweza kupendeleana toka enzi za mwalimu na hawakuwa na madaraka unawaitaje pimbi? Nyie ndiyo pimbi tena manyani kabisa maana mna madaraka na jamaa wamewazidi akili wanapendeleana. Na hawataacha hadi ufe.
 
Ungeanza kwanza kuuliza kwanini wachaga wamejazana TRA unafikiri ni urithi wao,kwa nini Wahaya wamejaa taasisi nyingi nyeti?
jiwe linabalance tu mzani maana wasukuma ndo wengi Tanzania na waliwekwa kando maana si wabwabwajaji
 
Mangi mleta mada naona unatamani enzi zile zirudi ambako kila kona lugha ya mangi ilikuwa lugha ya taifa kwenye kila

kila ofisi aikambe aikambe ha ha ha .Sahau nyakati hizo zinapita kasi na usitegemee zirudi tena kwa heri ya kuonana jipange tu kisaikolojia
atasubiri sana maana enzi hizo hazitarudi kamwe. Bado tunakumbuka akina Mramba, Daniel Yona nk walivyoitafuna nchi hii asifikiri tumesahau.
 
atasubiri sana maana enzi hizo hazitarudi kamwe. Bado tunakumbuka akina Mramba, Daniel Yona nk walivyoitafuna nchi hii asifikiri tumesahau.
Mbona hao akina Yona na Mramba bado wanatafuna jasho lao kisawa sawa! Unajua wanavyoishi?
 
Miaka ya nyuma haya mambo yalikuwa yakisikika zaidi Kenya ambapo huwezi kuwa Waziri Mkikuyu na ukawa unaendeshwa na dereva Mjaluo.lakini nasikia huko yameanza kupungua.Hapa kwetu Nyerere alijtahidi sana katika hili lakini malalamiko yalianzia awamu wa pili na kuendelea.

Hili si jambo jepesi kulizungumzia kwani,mosi kiongozi Mkuu wa nchi halazimiki kuchukua ushauri wa mtu yoyote (ana kinga ya kikatiba) na jambo la pili ni pale ambapo wanaowekwa wanakuwa na vigezo (Elimu,uzoefu n.k).

Kwa hili la ukabila na ukanda ni utashi wa Kiongozi Mkuu na ni imani yake pekee inayoweza kumfanya asifanye anachofanya lakini katiba na kanuni zingine zinampa kinga.

Binafsi ningependa tujadili kwa mfano hili la DAS kuteuliwa hadharani na wateuliwa wakiwa sio watumishi wa umma kama miongozo inavyoelezea.
Lakini kipindi cha Mkapa tukiwa na waziri wa fedha aliefungwa jela wakati wa utawala wa JK,kulitoka malalamiko mengi kwa baadhi ya wabunge na wananchi wa kawaida kuwa TRA,BOT,Wizara ya Fedha na hata TPA zilikuwa na wafanya kazi walio wengi kuwa watoto wa vigogo au kabila fulani.
Haya mambo ya nepotism sio mageni yapo tokea Uhuru.
 
Waanzie chadema ambapo wamejazana raia wa kanda ya kaskazini....ndio waje wengine........na najua hiki chadema kikishika nchi wachaga ndio watakao pumua kwanini wasianze kukemea ukabila ndani ya chama ndio waje kwingine
 
Mangi mleta mada naona unatamani enzi zile zirudi ambako kila kona lugha ya mangi ilikuwa lugha ya taifa kwenye kila

kila ofisi aikambe aikambe ha ha ha .Sahau nyakati hizo zinapita kasi na usitegemee zirudi tena kwa heri ya kuonana jipange tu kisaikolojia
Anataka zirudi enzi zile za TRA kuwa na wakuu nane wa vitengo ambao wote wanatoka kule Kilimanjaro.

Pengine alikuwa bado ni mwanafunzi wa darasa la pili asiyeelewa nini kinaendelea katika maisha ya wakubwa.
 
Sera za Tundu lissu
1.Nimepigwa risasi 32
2.zimenipata 16
3.nimefutwa ubunge
4.Demokrasia
Ufafanuzi wa ziada
Ruhusu ya kuandamana unapotaka, wenzio wanaenda kwenye shughuli zao wewe inafungwa Barabara kutimiza haki yako ya kuandamana
 
Ufafanuzi wa ziada
Ruhusu ya kuandamana unapotaka, wenzio wanaenda kwenye shughuli zao wewe inafungwa Barabara kutimiza haki yako ya kuandamana
Mtoto wako atakuja kuwa na akili zaidi yako katika kuwa rational
 
........kama wana sifa HAINA SHIDA, Zamu yako itafika; hiyo nafasi ya Urais hata ukipewa wewe, huwezi kuacha ndugu zako wenye sifa kuwa na kazi nzuri na kuwawezesha ili mradi wawe na sifa. Kuwa mpole
Cpat picha cku mhaya akishika nchi utasemaje. Maana ukifuata sifa bila kubalance utajikuta unawateua wahaya tu maana ndio wasomi wote
 
Mangi mleta mada naona unatamani enzi zile zirudi ambako kila kona lugha ya mangi ilikuwa lugha ya taifa kwenye kila

kila ofisi aikambe aikambe ha ha ha .Sahau nyakati hizo zinapita kasi na usitegemee zirudi tena kwa heri ya kuonana jipange tu kisaikolojia
Mkuu mbona unaingiza mambo ya ukabila Tena....Nashangaa aliyeweka bandiko humjuii ila umempeleka kwenye upande ambao wewe aidha unachuki nao au unataka kuwachafua kwa makusudi yaliyo moyoni mwako...
Mkuu chuki zakikabila si nzuri kwa mustakabali wa nchi yetu..tusibaguane watanzania wenzangu kwa misingi ya ukabila,ukanda,dini au rangi..nchi hii ni yetu sote...tupendane na tuvumiliane kwenye misingi ya tofauti zetu kisiasa na kidini...
Ninakusalimu nikiwa njia panda ya Katende
 
Back
Top Bottom