Tetesi: Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba

Hahaaa..... wapambe mmeshindwa kumchangua shujaa wenu msiba?

Yuko mwingine alisingizia watu madawa ya kulevya.

Kesi zake zitafunguliwa hata baada ya miak 30 mbele. Ajiandae tu.
Mkuu Bush, kumbe mafaili bado hayaja fungwa, yanasubili muda mwafaka ama?
 
Shujaa wenu Magufuli alikuwa anasamehe?
 
Musiba kama musiba hakuna sehemu aliyonishangaza na kunifurahisha kama alivosema eti Magufuli ni Rais wa Leo,kesho na hata milele,Membe baba shikilia hapo hapo maana hii nchi tumezidi kuendekeza watu wajinga na mambo ya kijinga
 
Membe ni failure anayetapatapa.

Aliwahadaa ACT wazalendo kwamba ataingia dakika ya 89 na kufunga goli alafu akaishia kufanya kampeni za urais kwenye kijiji cha Rondo
Tunataka pesa kenge nyie sukuma mavi mlikua mnamtumia sana huyo pimbi
 
kiongozi asiyesamehe hafai kuongoza watu membe huyu huyu je angekuwa raisi ingekuwaje ! kipimo cha akili ni karma
Mkuu ni kweli, kusamehe kupo lakini kunaendana na mazingira yenyewe. Kwa mazingira ya muhusika na aliyekuwa ana mtumikia nao neno "kusamehe" halikuwemo kwenye kamusi yao. Hiyo ndiyo "tit-for-tat
 
Maaskofu hawa hawa credibility ya kuweza kuwana divine power labda kama wana ufahamu wa kuzimu.

Hawa ni makada tena machawa wa Magufuli na CCM watiifu, hivi uliwahi kiwasikia wakimuomba Magufuli asiteke, asifilisi watu, kushambulia kondoo zao?
 
Hawa siyo watumishi wa kanisa bali ni makada watiifu wa CCM.
Siyo watumishi wa kanisa bali ni chawa wa Magufuli.

Hivi uliwahi kuwasikia wakikemea madhila ya wale walioumizwa na matendo ya Magufuli?
 
Wa kuiuwa CHADEMA nani?
NCCR mageuzi mlifanikiwa
CUF mkafanikiwa
Sasa mnaiombea CHADEMA kufa?
Poleni!!!
 
Wewe ni Musiba nenda kalipe tuondolee upuuzi wako
 
Kiungo unachotumia kufikiria kina walakini, nyie akina Musiba mlidhalilisha utu wa watu kwa kulindwa na shetani Magufuli sasa mmegeukwa.

Waluguru wanasema mulungu chimbidu maana kigeugeu kawageuka
 
Viongozi wa dini wanaponyamazia mambo mabaya kufanyika kwenye jamii;alafu sheria zinaposimama kwenye mkondo wake hujitokeza kama hivi Sasa, inashiria kwamba walikuwa timu moja
 
Kiungo unachotumia kufikiria kina walakini, nyie akina Musiba mlidhalilisha utu wa watu kwa kulindwa na shetani Magufuli sasa mmegeukwa.

Waluguru wanasema mulungu chimbidu maana kigeugeu kawageuka
Acha kupandwa na mihemko wewe binti, kuwa na adabu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…