Tetesi: Membe awakatalia Kardinali Pengo na Askofu Malasusa kumsamehe Musiba

Kwa nini haku appeal mpaka case ifike mahama za EAC, yaani yeye angeenda na mwendo wa ku apeal tu!
Sidhani kama hii case ilifika kwenye Mahakama ya Rufaa!
Well I’m just curious [emoji3166]

..Musiba alionyesha dharau kwa mahakama kwa kutohudhuria wakati kesi ikisikilizwa.

..pia hicho unachoshauri kwamba akate rufaa na kinahitaji mawakili kitu ambacho ni gharama kwa Musiba.
 
Picha hili membe ako nia end.,. Mtakuja nikumbuka
 
Hawa si Mungu, ni binadamu tu kama wengine......wasikataliwe wana nini cha kumzidi Membe?
 
Kusamehe nak utosamehe ni haki ya aliyekosewa. Kwani hao maaskofu ni Mungu? Kwani wao ndiyo waliokosewa? Musiba anapaswa kugeuka msiba kwa kufilisiwa kila alicho nacho mbuzi huyu aliyejisifu sana wakati wa mwendazake. Akitaka msamaha aende akaungane na mwendazake
 
Ningekuwa Mimi ndio musiba. Basi ninge fanya haya ili kupona👉
👉Mimi na familia yangu, tungeenda kumpigia magoti kwake ili atusamehe.
👉Tungeenda na suicide poison, ili akigoma tujitishie kujiua😂😀
👉Akikataa, nakunywa na Mimi. Kisha namwambia familia yangu at ilinda.
👉Lazima ata nisameheee, so game done
 
Musiba Pole Sana Hali Tete Kama Mji Wa Faruja Wakati Ule Iraq
Wakati hayo yakijiri hapa Mikocheni, tayari kampuni ya Yono imeshatua jijini Dodoma itakapoanzia kazi ya mnada kwa kuanza na apartments za Musiba zilizoko Ihumwa, nyumba yake ya Chamwino, guest house yake ya Msalato na shamba la hekari 10 njia ya Singida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…