Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ombi limepokelewaTunaomba huo mnada wa kuuza na kumfilisi ulushwe live [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We kweli umechanganyikiwa.Membe ni failure anayetapatapa.
Aliwahadaa ACT wazalendo kwamba ataingia dakika ya 89 na kufunga goli alafu akaishia kufanya kampeni za urais kwenye kijiji cha Rondo
Bado ya Bollen Ngetti anamdai 800,000 milioni, hukumu next month.Membe akimaliza bado Fatma Karume, bandika bandua
Wewe kumbe unacheza na kachero mbobeziTena Musiba akiwa analiburuza hilo li case na ma appeal pesa zita mwishia Membe
Na Musiba naye sijui vipi kwa nini hizo mali asiziandike kuwa ni za mtu mwingine?
Hilo siyo Deni,amekashifuDeni haifungi
Wewe utakuwa unafanya kazi kwenye guest ya Musiba.kiongozi asiyesamehe hafai kuongoza watu membe huyu huyu je angekuwa raisi ingekuwaje ! kipimo cha akili ni karma
Hii kesi ya Membe siyo ya Kwanza hapa Tanzania. Baada ya uchaguzi wa mwaka 2005 SAS alifungua kesi ya aina hiyo hiyo na akashinda. Lakini baada ya uamuzi wa mahakama SAS hakuwakalia kooni waandishi aliowakuwa anawashitaki wamlipe pesa zile bali aliwanyamazisha tu. Sijui vizuri sheria za Tanzania kwa sasa kuhusu utekelezaji wa kesi za madai (civil case) kwani siamini kuwa hii ni criminal case inayoweza kumpeleka Musiba jela. Inaweza kuishia kuwa kama kesi ya OJ wakati ule kabla hajakutwa na criminal case Las vegas, yaani Musiba akipata pesa kiasi fulani basi amgawie pia Membe kidogo! Membe kweli alitaka awe Raisi .Membe itakua kafulia anataka hela hakuna kingine hapo nimemshtukia.
Sasa Kama apeal zake hazina mashiko atafanyaje Sasa!!?Kwa nini haku appeal mpaka case ifike mahama za EAC, yaani yeye angeenda na mwendo wa ku apeal tu!
Sidhani kama hii case ilifika kwenye Mahakama ya Rufaa!
Well I’m just curious [emoji3166]
Na kwa jeuri pesa zote anapeleka kwa Watoto yatima.Membe itakua kafulia anataka hela hakuna kingine hapo nimemshtukia.
Pengo na Musiba wote ni Sukuma gang, kwakuwa Membe ni Mkatoliki walidhani Membe anaweza kushawishiwa na maaskofu matapeli kama huyo Pengo.Musiba nyang'au kweli aliacha kumwangukia membe, anaenda kumwangukia pengo
Yeye alidharau kumbe mwenzie yuko serious na anachokifanya. Sema una appeal vipi na records zipo. Utayakataaje maneno uliyoyasema au kuyaandika?Kwa nini haku appeal mpaka case ifike mahama za EAC, yaani yeye angeenda na mwendo wa ku apeal tu!
Sidhani kama hii case ilifika kwenye Mahakama ya Rufaa!
Well I’m just curious [emoji3166]
Mkuu umepotea njia, huko unakokwenda siko, Mahakama ndiyo iliyotoa amri Membe anatekeleza tatizo liko wapi.Huyo mzee kafulia mpaka anasikitisha.
Sasa kuuza mali za musiba ndio kutamtoa kwenye ukata.
Hivi uki appeal si unatumia pesa au ni bure tu ??Kwa nini haku appeal mpaka case ifike mahama za EAC, yaani yeye angeenda na mwendo wa ku apeal tu!
Sidhani kama hii case ilifika kwenye Mahakama ya Rufaa!
Well I’m just curious [emoji3166]