Naunga mkono hoja Mkuu.Si hapa Tanzania amekuwepo kiongozi mmoja tu, especially hivi karibuni? Wengine ni madalali tu.
Tz tumewahi kuwa na viongozi wawili tu.
Hayati JKN na JPM period.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja Mkuu.Si hapa Tanzania amekuwepo kiongozi mmoja tu, especially hivi karibuni? Wengine ni madalali tu.
Naunga mkono hoja Mkuu.
Tz tumewahi kuwa na viongozi wawili tu.
Hayati JKN na JPM period.
Inamaanisha Nini hiyo picha mkuuHakuna sunguramjinga.[emoji23][emoji23]
Ukiacha uchawi wako utapona, unarithi uchawi badala ya hekima unafurahia wachawi wenzioNa bado
Jasusi mbobezi kadedi.Ku-deal na mtu kariba ya Membe ujipange hasa. Huyu ni jasusi si wa kitoto. Ni diplomat maarufu sana huko duniani. Bila Membe Jakaya asingepata Urais na hata baada ya kupata Kuna baadhi ya viongozi duniani asingewafikia. Huyo ni mwandamizi wa Jesuits mbali na kuwa Mwalimu wa ukachero wa M16 ya Uingereza. Niishie hapo maana kwanza ujue Membe anawakilisha wangapi kwenye kesi hiyo?
Yamekuwa hayo tena? 😳Ukiacha uchawi wako utapona, unarithi uchawi badala ya hekima unafurahia wachawi wenzio
Kama siyo hayo ungenitag kwa hoja ya kipuuzi?Yamekuwa hayo tena? 😳
Daah sawa mkuu....Kama siyo hayo ungenitag kwa hoja ya kipuuzi?
Nyie wachawi vipi hadi?Daah sawa mkuu....
Ila usisahau "wema hawafi'
Hili swali lako ulitakiwa uulize kwa pande zote mbili, za mdaiwa na mdai! Ona Sasa inabidi urudie swali lako tena!!!Kisheria ipoje ikitokea mdaiwa ambae ni musiba akafarik dunia kabla ya mali kupigwa mnada
Ha ha ha ha ha haHili swali lako ulitakiwa uulize kwa pande zote mbili, za mdaiwa na mdai! Ona Sasa inabidi urudie swali lako tena!!!
Iliandikwa kwamba majasusi hawafi?Jasusi mbobezi kadedi.