Membe ameleta sintofahamu ACT kwa kiasi fulani juzi. Sababu ni matamanio yake yalityomtoa CCM anaona kama vile yanapotea akiwa ACT. Alidhani, na ACT walidhani ni asset , angelileta ushawishi na kukijenga chama, kumbe ni matatizo!
Upinzani ujifunze, Hawa watu wasipokelewe tena.
Upinzani ujifunze, Hawa watu wasipokelewe tena.