Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hajazikwa?SIKU ya mazishi ya HAYATI MAGUFULI, Membe, Kinana, Nape, Makamba Baba na Makamba mtoto hawakuonekana mazikoni nini kiliwasibu kutomzika Magufuli?
Maswali haya walijiuliza watanzania wengi kwamba Magufuli aliwakosea nini hadi washindwe kumzika?
Kama nitakuwa nimekosea kusema hawakuwepo kumbe walikuwepo Chato mnaweza kunisahihisha.
Walikuwa wanasherehekea ushindi waoSIKU ya mazishi ya HAYATI MAGUFULI, Membe, Kinana, Nape, Makamba Baba na Makamba mtoto hawakuonekana mazikoni nini kiliwasibu kutomzika Magufuli?
Maswali haya walijiuliza watanzania wengi kwamba Magufuli aliwakosea nini hadi washindwe kumzika?
Kama nitakuwa nimekosea kusema hawakuwepo kumbe walikuwepo Chato mnaweza kunisahihisha.
Hii ni nchi huru yenye uhuru wa habari na maoni. Tuwe wastahimilivu kuyasikia hata yasiyotufurahisha.Hii nchi tunakoelekea ni mgawanyiko wa kitabaka, kanda, hali au mali.
Huu uhuru wa maoni ni ujinga mtupu. Uzi kama huu Mod sioni sababu kwanini hauondolewi.
Kianzia kesho naanza kutupia porn video clip. Mkipiga ban nafungua ID nyingine
Ifike mahali threads zenye content za Taharuki, uvunjifu wa amani,migawanyiko , kukokosa maadili kwa aina zake zisipandishwe.
Mods tutawavuta mahakamani
Hilo siyo swali uwezo wa kufikiri umeshuka mnoBibi yako alikepo?
Unaandika kama umepachikwa jiti huko nyuma. Thread zikiwa na mlengo wa kumchafua Magufuli ndio mnazishabikia, watu wakiandika maoni kuhusu watu wenu mnaanza kutoa mapovu.Hii nchi tunakoelekea ni mgawanyiko wa kitabaka, kanda, hali au mali.
Huu uhuru wa maoni ni ujinga mtupu. Uzi kama huu Mod sioni sababu kwanini hauondolewi.
Kianzia kesho naanza kutupia porn video clip. Mkipiga ban nafungua ID nyingine
Ifike mahali threads zenye content za Taharuki, uvunjifu wa amani,migawanyiko , kukokosa maadili kwa aina zake zisipandishwe.
Mods tutawavuta mahakamani
Tuache unafiki watanzania. Kama mtu humpendi kuna haja gani ya kwenda kujikosha msibani kwake eti umekuja kumzika. Sisemi kuwa walikuwa hawampendi maana hawakuwahi kuniambia hivyo wala sijawahi kuwasikia ila matendo yao na hali inaonyesha hawakuwa wanamkubali.SIKU ya mazishi ya HAYATI MAGUFULI, Membe, Kinana, Nape, Makamba Baba na Makamba mtoto hawakuonekana mazikoni nini kiliwasibu kutomzika Magufuli?
Maswali haya walijiuliza watanzania wengi kwamba Magufuli aliwakosea nini hadi washindwe kumzika?
Kama nitakuwa nimekosea kusema hawakuwepo kumbe walikuwepo Chato mnaweza kunisahihisha.
Mmoja tayari. Tunaendelea kusubiri kwa hamuMsiba wa kuzika watu wote haijawahi kutokea wanaojaaliwa wasaa ndio wanaozika labda kama mna ugomvi wenu na hao uliowaulizia
Sent from my 2201116SI using JamiiForums mobile app
Rondo utakwenda?Tuache unafiki watanzania. Kama mtu humpendi kuna haja gani ya kwenda kujikosha msibani kwake eti umekuja kumzika. Sisemi kuwa walikuwa hawampendi maana hawakuwahi kuniambia hivyo wala sijawahi kuwasikia ila matendo yao na hali inaonyesha hawakuwa wanamkubali.
Tuache kuishi kwa unafiki wa kumpenda marehemu wakati akiwa hai hukuwa wampenda.
Hell noRondo utakwenda?
Walikuwepo baadhi yao....SIKU ya mazishi ya HAYATI MAGUFULI, Membe, Kinana, Nape, Makamba Baba na Makamba mtoto hawakuonekana mazikoni nini kiliwasibu kutomzika Magufuli?
Maswali haya walijiuliza watanzania wengi kwamba Magufuli aliwakosea nini hadi washindwe kumzika?
Kama nitakuwa nimekosea kusema hawakuwepo kumbe walikuwepo Chato mnaweza kunisahihisha.
[emoji2956]Msiba wa kuzika watu wote haijawahi kutokea wanaojaaliwa wasaa ndio wanaozika labda kama mna ugomvi wenu na hao uliowaulizia
Sent from my 2201116SI using JamiiForums mobile app
Utaendaje kushiriki kumzika shetani kwa heshima,?SIKU ya mazishi ya HAYATI MAGUFULI, Membe, Kinana, Nape, Makamba Baba na Makamba mtoto hawakuonekana mazikoni nini kiliwasibu kutomzika Magufuli?
Maswali haya walijiuliza watanzania wengi kwamba Magufuli aliwakosea nini hadi washindwe kumzika?
Kama nitakuwa nimekosea kusema hawakuwepo kumbe walikuwepo Chato mnaweza kunisahihisha.
Umeanza kuwadharau waganga wa jadi baada ya kupata scholarship ya st.Petersburg?[emoji15][emoji1787]Waganga wa Jadi kama hawa huwa hawajitokezi kwenye MISIBA maana wanajua nafsi zinawashitaki
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Yeye ni binaadamu kama ulivyo wewe na mimi...Azikwe na kila mtu kwani ye alikuwa nani, si mifupa tu now.