Membe, Kinana, Nape, Makamba kwanini hawakumzika Rais Magufuli?

Membe, Kinana, Nape, Makamba kwanini hawakumzika Rais Magufuli?

SIKU ya mazishi ya HAYATI MAGUFULI, Membe, Kinana, Nape, Makamba Baba na Makamba mtoto hawakuonekana mazikoni nini kiliwasibu kutomzika Magufuli?

Maswali haya walijiuliza watanzania wengi kwamba Magufuli aliwakosea nini hadi washindwe kumzika?

Kama nitakuwa nimekosea kusema hawakuwepo kumbe walikuwepo Chato mnaweza kunisahihisha.
Hawa si ni "wazuri," hawafi hawa. Hivi kuna kiongozi mnafiki kama Mze Makamba hapa nchini? Yaani huyu Mze ni mnafiki mpaka kaambukiza watoto wake wote wa kiume japo watu wanasema Wanaume wa Kisambaa ndivyo walivyo ila kwa huyu Mze na wanawe it's too much. Wakati viongozi wako bize kwenda kumzika Magufuli, Mze Makamba alikuwa bize na simu kuwapigia wenzake wasiende msibani wasuse kumuonyesha marehemu kuwa wao ndio wenye nchi. Chama kilikuwa kinakufa chini ya huyu Mze kipindi alipokuwa katibu Mkuu, kulikuwa na makundi ya hajabu hajabu kutokana na unafiki wake.
 
SIKU ya mazishi ya HAYATI MAGUFULI, Membe, Kinana, Nape, Makamba Baba na Makamba mtoto hawakuonekana mazikoni nini kiliwasibu kutomzika Magufuli?

Maswali haya walijiuliza watanzania wengi kwamba Magufuli aliwakosea nini hadi washindwe kumzika?

Kama nitakuwa nimekosea kusema hawakuwepo kumbe walikuwepo Chato mnaweza kunisahihisha.

Magufuli alikuwa ni special sana kwamba kila mtu lazima amzike? Na nyinyi mliokwazika kwa wao kutokuhudhuria, msihudhurie misiba yao, case closed.
 
Kwa vile tumefika huku; sipati picha siku Architect wa kila kitu mzee wa Msoga atakapokata moto. Nchi itaripuka kwa nderemo na vifijo!

Au yule mzee wa WEMA HAWAFI
Au hawa vijana wawili wa hovyo
Au yule mzee wa migebuka aliyetaka waombolezaji wakazikwe Chato.

Tunalo tatizo!

Mungu na Atusaidie 🙏🏿
Hakuna atakayewazuia kulipuka kwa nderemo, lakini hiyo haimaanishi kuwa dhalimu alikuwa mtu mwema.
 
Kama utakua na kumbukumbu Hitler kutokana na aliowafanyia watu wengi kwenye kifo chake alizikwa na mkewe na shemeji yake tu.,"Watoto wake wawili wakubwa waligoma.Sasa ubaya jiwe aliowafanyia hao uliowataja jibu unalo.Ubaya aliowafanyia uliowataja sio siri hata ingekua ni mimi nisingelisogea! Usitafute watu ndani wakati kila jambo liko wazi!
 
Kumbe weye ulikwenda sio kwania ya kuzika ila kuweka hesabu nani kafika nanani hakufika.Hivi mie uliniona!Na ninani alikupa kazi hiyo naulilipwa kiasi gani!
 
SIKU ya mazishi ya HAYATI MAGUFULI, Membe, Kinana, Nape, Makamba Baba na Makamba mtoto hawakuonekana mazikoni nini kiliwasibu kutomzika Magufuli?

Maswali haya walijiuliza watanzania wengi kwamba Magufuli aliwakosea nini hadi washindwe kumzika?

Kama nitakuwa nimekosea kusema hawakuwepo kumbe walikuwepo Chato mnaweza kunisahihisha.
angefufuka? hao sio wanafki km wewe.
 
SIKU ya mazishi ya HAYATI MAGUFULI, Membe, Kinana, Nape, Makamba Baba na Makamba mtoto hawakuonekana mazikoni nini kiliwasibu kutomzika Magufuli?

Maswali haya walijiuliza watanzania wengi kwamba Magufuli aliwakosea nini hadi washindwe kumzika?

Kama nitakuwa nimekosea kusema hawakuwepo kumbe walikuwepo Chato mnaweza kunisahihisha.
Watu wazuri Hawafi
 
SIKU ya mazishi ya HAYATI MAGUFULI, Membe, Kinana, Nape, Makamba Baba na Makamba mtoto hawakuonekana mazikoni nini kiliwasibu kutomzika Magufuli?

Maswali haya walijiuliza watanzania wengi kwamba Magufuli aliwakosea nini hadi washindwe kumzika?

Kama nitakuwa nimekosea kusema hawakuwepo kumbe walikuwepo Chato mnaweza kunisahihisha.
Kwahiyo tunaanzia hapo uchunguzi wa Luhaga Mpinga?
 
Back
Top Bottom