nokwenumuya
JF-Expert Member
- Jun 29, 2019
- 820
- 2,896
Aliyekuwa kada wa muda mrefu wa Chama Cha Mapinduzi, Waziri wa Mambo ya Nje, Kachero mbobezi kama anavyoitwa na wapambe wake, Ndugu Bernard Membe anatazamiwa kujiunga na Chama Cha ACT-Wazalendo pindi chama hicho kitakapofanya uchaguzi wa ndani kuchagua viongozi wakuu wa chama hicho.
Chama hicho kinapanga kumpatia Membe nafasi ya Mshauri wa chama ambayo kwa sasa inashikiliwa na Maalim Seif ambaye anaenda kuchagukiwa kuwa Mwenyekiti.
Mchakato wa Membe kujiunga CHADEMA umekuwa mgumu kwa sababu ya historia ya Mzee Lowasa na wenzake ambao walikitumia Chama hicho kugombea na hatimaye kurudi zao CCM.
Aidha Membe amehakikishiwa nafasi ya kugombea urais ndani ya ACT-Wazalendo ambako ndani ya CHADEMA walimuambia wao akienda aende pasipo masharti ya kugombea maana tayari wamemuandaa Tundu Lissu kuwa mgombea wao japo hawajafunga kabisa room ya majadiliano.
Na hizo ndizo mpya katika siasa zetu hapa bongo.
Chama hicho kinapanga kumpatia Membe nafasi ya Mshauri wa chama ambayo kwa sasa inashikiliwa na Maalim Seif ambaye anaenda kuchagukiwa kuwa Mwenyekiti.
Mchakato wa Membe kujiunga CHADEMA umekuwa mgumu kwa sababu ya historia ya Mzee Lowasa na wenzake ambao walikitumia Chama hicho kugombea na hatimaye kurudi zao CCM.
Aidha Membe amehakikishiwa nafasi ya kugombea urais ndani ya ACT-Wazalendo ambako ndani ya CHADEMA walimuambia wao akienda aende pasipo masharti ya kugombea maana tayari wamemuandaa Tundu Lissu kuwa mgombea wao japo hawajafunga kabisa room ya majadiliano.
Na hizo ndizo mpya katika siasa zetu hapa bongo.