Tetesi: Membe kupokelewa Mkutano Mkuu wa ACT-Wazalendo?

Tetesi: Membe kupokelewa Mkutano Mkuu wa ACT-Wazalendo?

Namshauri aombe msamaha wa kurudi CCM kisha afungue makali rasmi
 
Hao Chadema wanapojiita chama cha demokrasia na maendeleo wanamaanisha nini? Kwa nini wameshapanga eti Tundu Lissu ndo mgombea wao wa Urais bila kutoa room kwa wanachama wengine kugombea?

Hata Membe alipaswa kuachwa ajiunge nao kama angeamua kuingia kwenye kinyang'anyiro cha Urais wamruhusu kura za wanachama zingeamua maana hiyo ndo demokrasia ya kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa ana akili sana na sidhani kama ataingia kwenye mtego huo ninadhani atafuata nyayo za mama sophia simba.
 
MIE KURA YANGU ANAYO MAANA ITASAIDIA KUPUNGUZA JAPO KIDOGO RUZUKU YA CCM, AH AH I WILL VOTE FOR HIM NO MATTER WHAT
 
Wahamaji kutoka CCM&CDM watapata plan B hasa watakaovurugwa kwenye mchakato wa kura za maoni ndani ya vyama vyao.
 
Lissu amechimba bonge la mkwara kwamba Chadema ikimpokea Membe na kumpa ugombea urais, atajitoa Chadema kwa kufuata njia ya Dk. Slaa. Majadiliano yanaendelea na nitawataarifu mwafaka ukifikiwa.
 
Lissu amechimba bonge la mkwara kwamba Chadema ikimpokea Membe na kumpa ugombea urais, atajitoa Chadema kwa kufuata njia ya Dk. Slaa. Majadiliano yanaendelea na nitawataarifu mwafaka ukifikiwa.

Huna lolote
 
Nilitonywa ili jumamosi ya juzi,sasa naanza kuamini.
Pili,mnyetishaji aliniambia baada ya yeye kwenda ACT na baada ya uchaguzi mkuu ACT itapata wabunge wengi kuliko chadema na ndio kitakuwa chama kikuu Cha upinzani maana kwa upande wa Zanzibar ACT itapata support kubwa kutoka kwa ACT.
Mwisho kabisa jamaa alinitonya kuwa CHADEMA ndio itakuwa kama NCCR au TLP Yani mbunge/wabunge wao watakuwa wachache Sana tena ni wa kutafuta na torch.Na ACT itapata support kubwa kutoka kwa CHAMA TAWALA.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom