Rajab_Omar
JF-Expert Member
- May 15, 2016
- 16,482
- 27,182
Nilitonywa ili jumamosi ya juzi,sasa naanza kuamini.
Pili,mnyetishaji aliniambia baada ya yeye kwenda ACT na baada ya uchaguzi mkuu ACT itapata wabunge wengi kuliko chadema na ndio kitakuwa chama kikuu Cha upinzani maana kwa upande wa Zanzibar ACT itapata support kubwa kutoka kwa ACT.
Mwisho kabisa jamaa alinitonya kuwa CHADEMA ndio itakuwa kama NCCR au TLP Yani mbunge/wabunge wao watakuwa wachache Sana tena ni wa kutafuta na torch.Na ACT itapata support kubwa kutoka kwa CHAMA TAWALA.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hizi ni propaganda za karne ya 15 ambazo kwa karne hii ni aibu kuziweka hapa.
CCM hawajawa wajinga kiasi hicho cha kuwahonga ACT wabunge wengi ili kiwe chama kikuu cha upinzani.
Ajenda kuu ya CCM ni wapinzani wasipate hata Kiti kimoja cha Ubunge 2020.
ACT itapata Wabunge Wengi Zanzibar tu bila ya Support yoyote kutoka Chama tawala.
Hii ndiyo shida ya Watanzania, Yaani Vijana wa Chadema baada ya kupambana na CCM basi munapoteza Nguvu kubwa kupambaba na ACT/Zitto Kabwe.