Tetesi: Membe kupokelewa Mkutano Mkuu wa ACT-Wazalendo?


Hizi ni propaganda za karne ya 15 ambazo kwa karne hii ni aibu kuziweka hapa.

CCM hawajawa wajinga kiasi hicho cha kuwahonga ACT wabunge wengi ili kiwe chama kikuu cha upinzani.

Ajenda kuu ya CCM ni wapinzani wasipate hata Kiti kimoja cha Ubunge 2020.

ACT itapata Wabunge Wengi Zanzibar tu bila ya Support yoyote kutoka Chama tawala.

Hii ndiyo shida ya Watanzania, Yaani Vijana wa Chadema baada ya kupambana na CCM basi munapoteza Nguvu kubwa kupambaba na ACT/Zitto Kabwe.
 
Huko ndo kuminya democrasia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijui una umri gani wewe hapo ulipo. Wewe kwa akili zako unafikiri dhumuni la chama chochote cha siasa ni nini hapa duniani.

Au vinginevyo, unafikiri vilabu vyoote vya mpira duniani lengo lao hua ni kitu gani.
Please reset your mind.
 
Hivi kweli unafikiri shushushu mbobezi kama mnavyomuita! Anaweza kweli kuisaliti mamlaka iliyopo??? Kwa umri aliyofikia membe ni vigumu sana kuisaliti mamlaka iliyoko. Labda useme huko anaenda kikazi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ACT ni ya kwake Membe wala aendi kujiunga labda kufukuza asiowataka kwenye hicho chama chake.
 
Waache wajidanganye na hizo ndoto zao.Magufuli yuko vizuri,atashinda asubuhi na mapema.💪
Yeyote yule kuanzia ngazi ya shina aliyepitishwa na ccm ni mzuri tuu wala hakuna kuangaika na anaweza kuwa mbaya wakati wowote akitemwa na ccm.
 
Sometime huwa najiuliza sana,ulaya mtu akigukuzwa chama anaweza staff au kama ni hujuma basi anajiengua mapema nakufanya mambo mengine,,,
Sisi ngozi nyeus!dah!tamaa ya madaraka.
Hivi kwani ukipumzika tu ukafanya mishe zako ukawaachia wengine utaoungukiwa ninj?ni lazima uwe mwanasiasa?
This is very logic,hebu tutafakar sana,hawa wanasiasa wetu ni watu fulan wenye kutafuya masrah yao binafsi kuliko wananchi wao
 
Navyoona mimi wamuache atimize ndoto kama alivyoota wasimukatize ndoto yake ya urais. Uzuri wa ndoto ni pale asubuhi ukiamuka unajikuta bado uko kwako pale geto Sinza wala hukuwa Merikani kama ulivyoaminishwa kwenye ndoto. Then life goes on!!!!
Mzee wa monduli na ndoto yake hajaamka tu. Kitambo sasa
 
Nyuma ya madai ya demokrasia na Tume Huru ya Uchaguzi ni dhana potofu kuwa wanasiasa watapata madaraka kwa njia ya mkato ili kutimiza agenda na malengo yao binafsi.
 
Kikwete Atagombea Kupitia Chadema.

CCM itaangushwa na MwanaCCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…