Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Hakuna kinachouma!Nyie kinawauma nini?
Membe hafai kuaminiwa kupeperusha bendera ya upinzaniYale yale ya 2015!
Yaa Waambie wajue tofauti ya kilichotokea nyuma na hiki wanachoona kitatokea pia kuna watu wanakuhisi kuwa wewe ni madterminder wa kubomoa upinzani. Mwaga vitu humu Zuberi..kwamba sisi hatuna akili za kujifunza ya nyuma ? Muwe na subira na Pia mtambue Kuwa Kuna Watu wana akilitimamu
Zitto msimamisheni Membe achana na hili likibaraka la uvccmkwamba sisi hatuna akili za kujifunza ya nyuma ? Muwe na subira na Pia mtambue Kuwa Kuna Watu wana akilitimamu
Membe siwezi kumwamini hata 10%, ACT mmeamua kutuuza tena kama 2015. Nashindwa kuelewa dhamila ya uanzishwaji wa chama chenu ACT. Mwaka 2015 mliusaliti umoja wa UKAWA . Na sasa mnapita njia zile zile tena.TAARIFA KWA UMMA.
Kesho tarehe 16 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia mbobezi Ndugu Benard Membe atazungumza na Wanachama wa ACT Wazalendo.
Ukumbi: Mlimani City
Muda: Saa 4.00 Asubuhi.
Waandishi wote mnakaribishwa.
Janeth Rithe, Naibu Katibu, Idara ya Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma, ACT Wazalendo.
Simu: 0745899913
15 Julai 2020.View attachment 1507601
Nitafurahi sana kama Membe hatagombea urais. Lakini pia asiwe kweny timu ya Ufundi wa Tundu Lissu atakuwa anavujisha mikakati na mbinu za ushindi kwenda huko ccm.Karibu mhe.Membe upinzani lkn ujiandae kuwa meneja kampeni was mhe.Lissu....acha waseme huna madhara au nyoko nyoko lkn October 25 ndo tutajua Nani kamu win mwenzake...kwa sasa acha wachonge ngenga
Membe siwezi kumwamini hata 10%, ACT mmeamua kutuuza tena kama 2015. Nashindwa kuelewa dhamila ya uanzishwaji wa chama chenu ACT. Mwaka 2015 mliusaliti umoja wa UKAWA . Na sasa mnapita njia zile zile tena.
SawaMembe anashawishi mbona naona hana mbwembwe kama za mzee wetu lowassa za 2015.
.
Kikubwa mkitaka kuwin mentality ya watu unganisheni nguvu ya BM na TAL,.nguvu itakuwa kubwa na mtapata wawakilishi wengi bungeni lakini tamaa ya mwanadamu huushinda mwili wake siamini kama BM au TAL mmoja wapo akubali kuwa mgombea mwenza ikitokea tu wamekubaliana nina hakika October mambo yatageuka CCM hawataamini kwa huu mtririko wa watu kuchukua form nina imani mtawashinda sana..
BM ana sura ya uraisi.
TAL ni mjenga hoja.
.
.
Kwako zitto naomba ongea na huyo bwana mkubwa Mbowe najua yaliyotokea 2014 yalikuumiza sana lakini ndio siasa yenyewe, yamalizeni kisha unganisheni nguvu kabla ya kampeni kufunguliwa...
.
BM & TAL ni nguvu tosha ya kulipasua jiwe October.
Nitafurahi sana kama Membe hatagombea urais. Lakini pia asiwe kweny timu ya Ufundi wa Tundu Lissu atakuwa anavujisha mikakati na mbinu za ushindi kwenda huko ccm.
Tukiweza kumaintain integrity ya huu muingano upinzani nchini utaleta ukomboziLisu kule membe Kati zitto, hawa ni wasomi ni wabobezi kwenye fani zao
Membe ni kachero mbobezi,msomi na mwanadiplosia
Lissu ni msomi mwasheria nguli
Zitto msomi mchumi mahiri
Nyie maCcm game imeanza kubadilika hii ni June ije october mtashaangaa hamtaamini
Hafai kabisa. Fadhila alizopata ndani ya CCM hawezi kuzisaliti kamwe kwa kuwapenda wapinzani. Lakini pia ikumbukwe huyu alikuwa Mwana inteligensia wa kada ya juu sana. Kiapo chake hakina tofauti na cha Freemason. Huyu alikuwa mwanadiplomasia wa kimataifa akiwakilisha nchi kiapo chake ni sawa na cha Illuminati. No way anaweza kwenda kinyume na viapo vya serikali ya ccm na dola zake. Nashindwa kuelewa ung'amuaji wa mambo haya wa Akina Zitto et al. La sivyo tutaanza kuamini kumbe na wao ni kundi moja tu.Tuliwaona mafisadi lowassa na sumaye nao wakijifanya wapinzani hatima yao wote tunaijua, Membe naye hana tofauti hata chembe hastahili huyu kupeperusha bendera ya upinzani.
Nitafurahi sana kama Membe hatagombea urais. Lakini pia asiwe kweny timu ya Ufundi wa Tundu Lissu atakuwa anavujisha mikakati na mbinu za ushindi kwenda huko ccm.
Safi sana ,Go Membe uje umpige za uso JIWE!! Membe for Presidency 2020.
Labda wa kumchunga Sana ni nyalandu asije rubuniwa Kama slaa au lipumbaTukiweza kumaintain integrity ya huu muingano upinzani nchini utaleta ukombozi