Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂 😂 😂 kwahio magufuli akigombea kupitia cdm pia watakua wametimiza lengo lao? daaah upinzani nchi hii acha tuendelee na ccm tu mpaka tupate watu wanaojielewaNdiyo
usimpomzungumzia Mbowe huwa unajisikia vibaya sana,inaonekana huwa anakukuna vizur anapokupakuaChadema inazidiwa kete na ACT! kwanza walimnyakua Maalim Seif kitendo hicho kiliwaudhi sana chadema, Yerico Nyerere mpaka leo ana maumivu ykihotokana na kitendo cha Zitto kumnyakua Seif!
Safari hii tena wamenyakua Membe huku chadema ikiendelea kukuna sharubu tu na mwenyekiti wake kuteguka kwa ulevi na kusingizia amepigwa na selikali!
Mbowe sijui anajisikiaje anapoona chama cha Zitto kina shine, mtu ambae akimfukuza kama mbwa, huku wafuasi wa Mbowe wakimtukana Zitto matusi ya kila aina?
Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Hivi ACT ni wajinga kiasi kwamba wameshindwa kujifunza kwa yaliyo wapata CDM baada ya Lowassa,Sumaye na Ngombale kuhamia huko and vice versa?Seriously namuona Membe na ACT kama wajinga fulani hivi....!TAARIFA KWA UMMA.
Kesho tarehe 16 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia mbobezi Ndugu Benard Membe atazungumza na Wanachama wa ACT Wazalendo.
Ukumbi: Mlimani City
Muda: Saa 4.00 Asubuhi.
Waandishi wote mnakaribishwa.
Janeth Rithe, Naibu Katibu, Idara ya Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma, ACT Wazalendo.
Simu: 0745899913
15 Julai 2020.View attachment 1507601
Kongole sana muheshimiwa mimi binafsi nakukubali sana achana na hawa waimba mapambio mkuu.kwamba sisi hatuna akili za kujifunza ya nyuma ? Muwe na subira na Pia mtambue Kuwa Kuna Watu wana akilitimamu
Wewe usieelewa hata JK kama katiba inaruhusu akihami ACT akagombea urais na akashinda itasemekana CCM imetolewa madarakani. Na kwa taarifa yako waliopo upinzani wote 90% walianzia CCM.😂 😂 😂 😂 kwahio magufuli akigombea kupitia cdm pia watakua wametimiza lengo lao? daaah upinzani nchi hii acha tuendelee na ccm tu mpaka tupate watu wanaojielewa
Kaka umelijibu hilo Jamaa ass licker la Jiwe ?kwamba sisi hatuna akili za kujifunza ya nyuma ? Muwe na subira na Pia mtambue Kuwa Kuna Watu wana akilitimamu
Basi tuliza Puru BrazaHakuna kinachouma!
TAARIFA KWA UMMA.
Kesho tarehe 16 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia mbobezi Ndugu Benard Membe atazungumza na Wanachama wa ACT Wazalendo.
Ukumbi: Mlimani City
Muda: Saa 4.00 Asubuhi.
Waandishi wote mnakaribishwa.
Janeth Rithe, Naibu Katibu, Idara ya Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma, ACT Wazalendo.
Simu: 0745899913
15 Julai 2020.View attachment 1507601
Wewe usieelewa hata JK kama katiba inaruhusu akihami ACT akagombea urais na akashinda itasemekana CCM imetolewa madarakani. Na kwa taarifa yako waliopo upinzani wote 90% walianzia CCM.
Kuna watu wanaongea point adi raha sio mi point ya watoto wa lumumbaMembe anashawishi mbona naona hana mbwembwe kama za mzee wetu lowassa za 2015.
.
Kikubwa mkitaka kuwin mentality ya watu unganisheni nguvu ya BM na TAL,.nguvu itakuwa kubwa na mtapata wawakilishi wengi bungeni lakini tamaa ya mwanadamu huushinda mwili wake siamini kama BM au TAL mmoja wapo akubali kuwa mgombea mwenza ikitokea tu wamekubaliana nina hakika October mambo yatageuka CCM hawataamini kwa huu mtririko wa watu kuchukua form nina imani mtawashinda sana..
BM ana sura ya uraisi.
TAL ni mjenga hoja.
.
.
Kwako zitto naomba ongea na huyo bwana mkubwa Mbowe najua yaliyotokea 2014 yalikuumiza sana lakini ndio siasa yenyewe, yamalizeni kisha unganisheni nguvu kabla ya kampeni kufunguliwa...
.
BM & TAL ni nguvu tosha ya kulipasua jiwe October.
Waliusaliti ki vipi? Hujui kua umoja ndio ulikataa na haukusoma barua ya Act kuhusu kujiunga katika umoja huoMembe siwezi kumwamini hata 10%, ACT mmeamua kutuuza tena kama 2015. Nashindwa kuelewa dhamila ya uanzishwaji wa chama chenu ACT. Mwaka 2015 mliusaliti umoja wa UKAWA . Na sasa mnapita njia zile zile tena.