Uchaguzi 2020 Membe kuunguruma Alhamisi 16 Juni 2020

Uchaguzi 2020 Membe kuunguruma Alhamisi 16 Juni 2020

Chadema inazidiwa kete na ACT! kwanza walimnyakua Maalim Seif kitendo hicho kiliwaudhi sana chadema, Yerico Nyerere mpaka leo ana maumivu ykihotokana na kitendo cha Zitto kumnyakua Seif!

Safari hii tena wamenyakua Membe huku chadema ikiendelea kukuna sharubu tu na mwenyekiti wake kuteguka kwa ulevi na kusingizia amepigwa na selikali!

Mbowe sijui anajisikiaje anapoona chama cha Zitto kina shine, mtu ambae akimfukuza kama mbwa, huku wafuasi wa Mbowe wakimtukana Zitto matusi ya kila aina?

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Zitto ni kichwa katika wapinzani wote. ACT inaendelea kuwa imara hata baada ya wale weengi waliojitoaga ili Zitto akate tamaa. Alirelax akajipanga na Sasa ACT ni chama Cha upinzani kilichoimairika Sana.
 
Chadema inazidiwa kete na ACT! kwanza walimnyakua Maalim Seif kitendo hicho kiliwaudhi sana chadema, Yerico Nyerere mpaka leo ana maumivu ykihotokana na kitendo cha Zitto kumnyakua Seif!

Safari hii tena wamenyakua Membe huku chadema ikiendelea kukuna sharubu tu na mwenyekiti wake kuteguka kwa ulevi na kusingizia amepigwa na selikali!

Mbowe sijui anajisikiaje anapoona chama cha Zitto kina shine, mtu ambae akimfukuza kama mbwa, huku wafuasi wa Mbowe wakimtukana Zitto matusi ya kila aina?

Sent from my SM-T585 using JamiiForums mobile app
Wakati Zitto anafanyiwa figisu pale CHADEMA kipindi kile nilisema Zitto kaonewa na kwa akili yake atatoboa tuuu. Kwa upande wangu naiona ACT ndo chama imara Cha upinzani Tanzania.
 
Karibu mhe.Membe upinzani lkn ujiandae kuwa meneja kampeni was mhe.Lissu....acha waseme huna madhara au nyoko nyoko lkn October 25 ndo tutajua Nani kamu win mwenzake...kwa sasa acha wachonge ngenga
Japo kujikwaa si kuanguka kunaweza kujeruhi hata kutegua kiuno!

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Waziri wa mambo ya nje mstaafu mh Bernad Membe leo ataongea na waandishi wa habari akiwa na chama chake kipya cha ACT wazalendo katika ukumbi wa Mlimani city.

Up dates;

Maendeleo hayana vyama!
 
TAARIFA KWA UMMA.

Kesho tarehe 16 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia mbobezi Ndugu Benard Membe atazungumza na Wanachama wa ACT Wazalendo.

Ukumbi: Mlimani City

Muda: Saa 4.00 Asubuhi.

Waandishi wote mnakaribishwa.

Janeth Rithe, Naibu Katibu, Idara ya Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma, ACT Wazalendo.

Simu: 0745899913

15 Julai 2020.

View attachment 1507601
Huyu Mzee nasikia tu ana ubobezi wa kidiplomasia lkn hana mvuto wala ushawishi wa kisiasa kama Lowasa ambaye alikuwa anapendwa bure kabisa mpaka Juma Duni Haji akasema haya ni Mahaba. Membe unajidanganya kuwa utamuangusha Magufuli
 
TAARIFA KWA UMMA.

Kesho tarehe 16 Julai 2020, Waziri wa Mambo ya Nje Mstaafu, Mwanasiasa na Mwanadiplomasia mbobezi Ndugu Benard Membe atazungumza na Wanachama wa ACT Wazalendo.

Ukumbi: Mlimani City

Muda: Saa 4.00 Asubuhi.

Waandishi wote mnakaribishwa.

Janeth Rithe, Naibu Katibu, Idara ya Habari, Uenezi na Mahusiano na Umma, ACT Wazalendo.

Simu: 0745899913

15 Julai 2020.

View attachment 1507601
Mwanasiasa yeyyote "nje ya CCM hana nguvu, ni sawa na konokono" hii ni kwakuwa ndani ya CCM wanabebwa na NECCCM, POLICCM,TISSCCM, JEIDABLIYUCCM na TCRACCM, Membe hata kura laki moja hapati akigombea.
Pili, CCM, imesheheni waimba pambio wasio jielewa, wao wanachagua yeyote ilimradi awe ameacha kazi serikalini na kaamua kuja kugombea nafasi ambazo zingefaa mtu asiy na ajira kabisa.
 
Back
Top Bottom