Uchaguzi 2020 Membe: Mimi nilitafuta wadhamini kimya kimya kukwepa mtego wa kuvunja kanuni na kuanza kampeni mapema

Uchaguzi 2020 Membe: Mimi nilitafuta wadhamini kimya kimya kukwepa mtego wa kuvunja kanuni na kuanza kampeni mapema

Mkuu Lissu kajichanganya, watamfix kwa kuanza kampeni kabla ya wakati. Alikuwa na haraka ya nini kuanza kupanda majukwaani na kuanza kuuza sera za CHADEMA. Kama akichomoa basi itakuwa tu ni huruma ya Tume, vinginevyo anachomolewa saa moja asubuhi.
Acheni kuweweseka basi Mataga, mlianza kuamini kuwa Lissu mmempiga risasi amekufa hakufa...

Mkaamini hawezi kurejea nchini kabla ya Uchaguzi akarudi

Mkaamini hawezi kuteuliwa na Chadema akateuliwa..

Mkaamini hawezi kupewa Form na Tume akapewa...

Mkaamini hawezi kupokelewa mikoani na wananchi, akapokelewa kwa maelfu..

Sasa mnaamini hawezi kuteuliwa na Tume, Ujinga tu unawasumbua...
Tamasha la Wasanii wa CCM Uwanja wa Uhuru ilikuwa ni kitu gani? Kampeni ama si kampeni?

Hofu ya nini bandugu???

Magu alipowaambia Wapentekoste wasimchague Lissu ilikuwa ni Kampeni ama si Kampeni?

Aliponunua Jogoo kwa sh. 100000 ilikuwa ni Kampeni ama si Kampeni?

Alipoahidi kupanua barabara ya Dumila baada ya kula mahindi ya kuchoma ilikuwa ni kitu gani anafanya?
 
Barbarosa,

Hakuna kitu kama hicho Tundu Lissu lazima agombee.

Mlisema hatakuja, kaja toka Belgium.

Mlisema msaliti hana mvuto wa kisiasa, imebainika siyo kweli.

Mlisema siku ya Sikukuu ya Nane Nane Ofisi ya Tume ya Uchaguzi Dodoma itakuwa imefungwa, Tundu Lissu alikuta ipo wazi.

Mlisema hati yake ya Kiapo haitasainiwa na Jaji wa Mahakama Kuu Dar es Salaam , jana fomu zake za kiapo zimesainiwa.

Mmepanga kumuita Kisutu tarehe 26 August 2020, Tundu Lissu hawezi kutokea kwa udhuru wa jambo muhimu ktk mchakato wa kuelekea uchaguzi 2020.

Mnasema tarehe 26 August 2020 hatatambuliwa kama mgombea rasmi wa Urais kupitia CHADEMA 2020, Tundu Lissu atatambuliwa na Tume ya Uchaguzi ya Taifa na ndiyo itakuwa siku ya kusitisha tuhuma zote za mahakamani mpaka baada ya uchaguzi tarehe 28 Oktoba kumalizika.

Wagombea wanaotambuliwa na Tume ya Uchaguzi 26 Agosti tuhuma za mashtaka yao yatasitishwa kwa kinga maalum ili sisi waTanzania tuweze kushiriki kumpigia kura maana tuhuma ya kesi siyo kigezo cha kumuondolea haki yake kuchaguliwa kwani tuhuma siyo ukweli mpaka pale tu atakapo hukumiwa ndiyo sifa inakosekana.
 
Boss kumbe muda wote hujaona kuwa ninachosema kuwa idadi ya wapiga kura ni kubwa kuliko inavyopaswa!? Ngoja nirudie tena. Watanzania tunakaribia 60m. Nusu ya hiyo 60 ni hiyo 29m+. Kama 29m+ ndio imejiandikisha kweli ni kuwa kila watanzania wawili, mmoja kajiandikisha kupiga kura? Hiyo ni sawa na kusema watanzania wote wenye miaka 18+ wamejiandikisha kupiga kura, japo ambalo sio kweli kabisa. Na inawezekana vipi watu wenye miaka 18 na kuendelea, idadi yao iwe sawa na walio na umri chini ya miaka 18?

Hapo huenda umeona concern yangu, kuwa idadi hiyo ya 29m+ sio ya kweli kabisa, na lengo la kuweka idadi kubwa hivyo ni ili kupika matokeo. Na kwa vyovyote matokeo hayo ya kupika ni kwa ajili ya kuibeba ccm, sasa kama sio kuandaa machafuko ni nini?
We amini unachoamini na mwingine ataamini anachoamini na serikali itafanya inavyoona.
 
Mgombea Urais wa Chama cha ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema wao wamepata wadhamini katika mikoa kumi

Amesema ACT-Wazalenda waliamua kutafuta wadhamini kimyakimya ili kuepuka kuteleza

Majina wa wateule wa kugombea Urais yanatarajia kutolewa na Tume ya Uchaguzi, NEC Agosti 25, na kampeni zitaanza Agosti 26

Chanzo: ITV

Kampeni ni kampeni na kutafuta wadhamini ni kutafuta wadhamini. Hivyo viwili ni tofauti.

Lissu alikuwa mfu aliyefufuka. Kila anapokwenda watu wana nia ya kumwona na kusalimiana naye.

Hiyo ndiyo tofauti kuu kati ya Lissu na wagombea wengine.

Membe anajizungumzia yeye kama mtu ambaye hakuwa mfu.

Suala la Lissu ni tofauti hayupo asiiyeijua tofauti hiyo.
 
QUOTE]
Mkuu una akili kishenzi. Membe ni kama anamfitini Lissu lakini hawatafanikiwa. Kama kampeni hata Magu amefanya sana tena na kualika wasanii kabisa. Pale anachukua form pia alifanya kampeni tena na kuinadi ilani ya ccm. Alisema ilani ya mwaka huu ni kubwa kuliko hata ya 2015. So kama ni kukatwa yeye ndio akatwe.
hivi kwenye hiyo hoja ya kuanza kampeni mapema mnatumia nguvu nyingi sana kuitetea? two wrongs doesn't make right
 
hivi kwenye hiyo hoja ya kuanza kampeni mapema mnatumia nguvu nyingi sana kuitetea? two wrongs doesn't make right
Kipengere kitakachomtoa Lissu kama watamwekea pingamizi ni No. 16 kwenye orodha ya NEC ya Pingamizi. Lissu haruhusiwi kuwa Mbunge kwa muda wa miaka mitano na moja ya sharti la mgombea Urais lazima awe anauwezo wa kungombea ubunge!
 
Mgombea Urais wa Chama cha ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema wao wamepata wadhamini katika mikoa kumi

Amesema ACT-Wazalenda waliamua kutafuta wadhamini kimyakimya ili kuepuka kuteleza

Majina wa wateule wa kugombea Urais yanatarajia kutolewa na Tume ya Uchaguzi, NEC Agosti 25, na kampeni zitaanza Agosti 26

Chanzo: ITV
Mwinyi alipopokelewa kama rais "mteule" haikuwa kuvunja kanuni eti?
 
Ni kweli kabisa, hiyo ni kwakuwa Magufuli anajua hawezi kushindana na Lisu, na namna pekee ni kuhakikisha hakutani naye.
Lissu kaoa lakini au unataka kuwa mke wa pili
 
Kwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?

Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.

Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.

CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.

Halafu yeye Membe alivyoenda Zanzibar Yale maandamano na zile ahadi jukwaani alikuwa anafanya nini.

Inawezekana Membe ndio mchawi wa Lissu kuliko hata CCM wenyewe.
CHADEMA wepesi sana mnakua kama hamzielewi siasa za bongo....uchaguzi uliopita mlimalizwa na Lowasa huu mtamalizwa na Membe
 
Wewe mkuu si ulikuwa unahamasisha wenzio humu kwamba msijitokeze kujiandikisha?

Mwaka huu mtashuhudia maajabu, mtaenda kwenye vituo vya kura na kuambiwa jina lako halipo kwenye orodha japo kitambulisho unacho cha toka 2015.

Ndio mtajua kwamba ushindi unaanzia mbali siyo jf pekee

Acha nicheke kwa nguvu, nimehamasisha wasijiandikiahe kupiga kura kisha wakafika 29m+! Je nisingehasisha watu si wangefika 55m? Kuna maajabu gani boss, zaidi ya tabia binafsi za magu kwenye kunajisi chaguzi za nchi hii? Nikikuambia kuwa idadi ya 29m+ ni ya kupika, sikosei kwenye hilo. Sasa kama wapiga kura wako 29m+ kisha hawatakuta majina yao vituoni, kwanini mpike data kubwa hivyo mpaka mnaonekana majuha? Halafu kwa maelezo yako inaonyesha hamkubaliki, bali mnategemea figisu kushinda.
 
Kwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?

Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.

Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.

CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.

Halafu yeye Membe alivyoenda Zanzibar Yale maandamano na zile ahadi jukwaani alikuwa anafanya nini.

Inawezekana Membe ndio mchawi wa Lissu kuliko hata CCM wenyewe.
Membe ni transplant ya sisiem ! Kachero hawezi kuacha kuwa kachero!
 
Kwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?

Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.

Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.

CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.

Halafu yeye Membe alivyoenda Zanzibar Yale maandamano na zile ahadi jukwaani alikuwa anafanya nini.

Inawezekana Membe ndio mchawi wa Lissu kuliko hata CCM wenyewe.
Nilishasema humu kuwa huyu membe ni pandikizi huyu?
 
Membe ni mjinga hana nguvu yoyote wala ubavu wa kupata kura 100,000.
 
Upuuzi mtupu nani aliongea Zanzibar na kusema atawatoa mashehe wa uhamsho akichaguliwa kuwa Rais?

Wanatufanya watanzania wote wapumpavu kama wao.
Membe nilikuwa namuwaza lkn kuanzia sasa nimesham delete mawazoni mwangu.
 
Back
Top Bottom