Uchaguzi 2020 Membe: Mimi nilitafuta wadhamini kimya kimya kukwepa mtego wa kuvunja kanuni na kuanza kampeni mapema

Uchaguzi 2020 Membe: Mimi nilitafuta wadhamini kimya kimya kukwepa mtego wa kuvunja kanuni na kuanza kampeni mapema

Tatizo chadema mnakuwa kama mmelogwa, Membe na ACT waliusoma mchezo in advance ndio maana walitafuta wadhamini kimyakimya, Chadema tatizo Lenu ni too much know na mihemuko mnakosa watu wenye ueledi kuwasaidia

Shauri yenu ,ila ishatoka hiyo mlitegwa mkategeka

LISUU OUT

Ingekuwa mikutano imekatazwa mpaka sasa ungekuwa na hoja.
 
Nimeshindwa kumwelewa Membe mantiki yake ni ipi?

Ukisaka wadhamini kimya kimya huko sio kufanya kampeni lakini ukisaka wadhamini kwa shamrashamra huko ndio kufanya kampeni?

Sheria za NEC zilizotumika mwaka 2015 almost ni zile zile, na wagombea wote maarufu walisaka wadhamini karibu nchi nzima kwa shamrashamra nzito na hakuna mgombea aliyekatwa na tume ya uchaguzi. Huo woga wa kukatwa jina unatokea wapi?

Huwezi kuwa na tafsiri ya kusema kitendo fulani ni kampeni akiwa anayekifanya bado hajateuliwa kuwa mgombea na tume ya uchaguzi. Uteuzi wa wagombea na tume ya uchaguzi huanza kwanza halafu kampeni ndio zifuate. Kama bado tume ya uchaguzi haijateua wagombea, chochote kinachofanyika hapo ni siasa tu.
 
Lissu ni mkongwe wa sheria ni wazi hajakurupuka,anajua alifanyalo,wajichanganye kumuengua uchaguzi UTASIMAMA.
Lisu anatafuta mivutano na mamlaka ili asikike akilalamika anaonewa, wenzake kesi ilipoisha wakaenda kucheza kwenye mlango wa gereza kutafuta kesi nyingine.
 
Nimeshindwa kumwelewa Membe mantiki yake ni ipi?

Ukisaka wadhamini kimya kimya huko sio kufanya kampeni lakini ukisaka wadhamini kwa shamrashamra huko ndio kufanya kampeni?

Sheria za NEC zilizotumika mwaka 2015 almost ni zile zile, na wagombea wote maarufu walisaka wadhamini karibu nchi nzima kwa shamrashamra nzito na hakuna mgombea aliyekatwa na tume ya uchaguzi. Huo woga wa kukatwa jina unatokea wapi?

Huwezi kuwa na tafsiri ya kusema kitendo fulani ni kampeni akiwa anayekifanya bado hajateuliwa kuwa mgombea na tume ya uchaguzi. Uteuzi wa wagombea na tume ya uchaguzi huanza kwanza halafu kampeni ndio zifuate. Kama bado tume ya uchaguzi haijateua wagombea, chochote kinachofanyika hapo ni siasa tu.

Membe na ACT hao ni ma snitch tu.
 
sasa nawaelewa wakuu wasiotaka colabo la huyu snich. atachukua siri na kuuza kwa mabwana zake
 
Tundu Lissu na CHADEMA wametest mitambo mapema sasa hakuna mashaka kuwa ndio chama na mgombea anayekubalika zaidi Tanzania. Act na Ccm acheni wivu
 
Kuna watu naona wamemsahau Robert Amsterdam, sasa hizo figisu walete mwaka huu ndio watamtambua ni nani
 
Alichoongea ni unafiki, halafu Lisu alikuwa anafanya mikutano kutafuta wadhamini sio kupiga kampeni.

Yeye Zanzibar alienda akasema nitawatoa viongozi wa Uamusho gerezani hizi sio kampeni.

Membe mnafiki tu anasubiri huruma ya Magufuli kwenye teuzi.
Hujajibu swali langu.
 
Embu tupe iyo sheria ya tume tuisome wewe mataga mkubwa
Utaijua siku akikatwa kila kitu kitawekwa hadharani, bahati nzuri Lissu anajua ila alikuja kushtuka siku ile alipoongea na kudai kuna njama.Anaona aibu kuwaambia wenzake. Mlionywa mapema sasa mtalinywa
 
Utaijua siku akikatwa kila kitu kitawekwa hadharani, bahati nzuri Lissu anajua ila alikuja kushtuka siku ile alipoongea na kudai kuna njama.Anaona aibu kuwaambia wenzake. Mlionywa mapema sasa mtalinywa
Hakuna rangi mtaacha ona mwaka huu. Jaribuni muone
 
Mgombea Urais wa Chama cha ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema wao wamepata wadhamini katika mikoa kumi

Amesema ACT-Wazalenda waliamua kutafuta wadhamini kimyakimya ili kuepuka kuteleza

Majina wa wateule wa kugombea Urais yanatarajia kutolewa na Tume ya Uchaguzi, NEC Agosti 25, na kampeni zitaanza Agosti 26

Chanzo: ITV

Ndio maana nasemaga ACT ni project ya kumcontain Maalim na CDM.
 
Membe kaenda ACT kumzuia Maalim sef asichukue dola Zanzibar, ni mpango mkakati wa ccm

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app

Upo sahihi. Nilishangaa sana Maalim kuchahua ACT mpaka nikahisi pengine Maalim ni prohect ya CCM,
Uwezi kuwa na akili timamu ukajiunga na Zitto maana huyo ni afisa kipenyo kitambo.
 
Back
Top Bottom