Phoenix
JF-Expert Member
- Sep 6, 2012
- 10,585
- 15,468
Choose your battle wisely.Acheni wivu.Tunapambana na CCM na vimelea vyake vyote
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Choose your battle wisely.Acheni wivu.Tunapambana na CCM na vimelea vyake vyote
Alidhani atakuwa kama Lowassa!😀Kwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?
Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.
Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.
CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.
Halafu yeye Membe alivyoenda Zanzibar Yale maandamano na zile ahadi jukwaani alikuwa anafanya nini.
Inawezekana Membe ndio mchawi wa Lissu kuliko hata CCM wenyewe.
Yule CHIBA kajiingiza mzima mzima kwenye mtego. Upo wakati najiuliza kama Tundu Lissu anajua kweli Sheria au naye anawalio nyuma yake wanampa mwongozo kwamba wewe fanya wakikugusa tutakusaidi?Wasalaam wana jamvi!
Mgombea wa ACT Wazalendo jana alikwenda mahakama kuuu kula kiapo kwa judge ... alipoulizwa na waandishi kuhusu njia yake ya kutafuta wadhamini aliweka wazi kabisa yeye alikuwa mtulivu kusoma kanuni na sheria hivyo ndio maana alitumia njia ya kutafuta wadhamini kimya kimya ili asivunje kanuni alizo zisoma na kuzielewa!
Alisema wazi kabisa hakutaka kuingia kwenye mtego wa kuanza kampeni kabla ya muda maana muda ya kujinadi bado haujafika mpaka hapo watakapo vuka kiunzi cha kuteuliwa na tume!
Ni wazi kuna mtu hapa alikuwa ana kumbushwa na kutumiwa salamu!
Wape salaaam....
Mswahilikavaasuti
Ninyi hemkweni tu alafu jina lisiporudi mtatafuta pa kutokea.Kwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?
Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.
Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.
CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.
Halafu yeye Membe alivyoenda Zanzibar Yale maandamano na zile ahadi jukwaani alikuwa anafanya nini.
Inawezekana Membe ndio mchawi wa Lissu kuliko hata CCM wenyewe.
Haamini anachokiona [emoji23][emoji23]Alidhani atakuwa kama Lowassa![emoji3]
Rejea waliokuwa wamejandikisha 2015Inakuwaje nchi yenye wananchi karibia 60m wapiga kura wawe 29m+? Ina maana nusu ya watanzania wako miaka 18 na kuendelea? Kama idadi ya wapiga kura ni ya uongo, matokeo watatamgazaje ya ukweli?
lissu ni makam mwenyekiti wa Chama nyie kuna nyingine tena inakuja mapadri na mashekh wamewaalika kwan atujuiMembe kaongea ukweli mtupu. Na siku zote ukweli unauma. Huyo Lissu ameanza kampeni mapema sana
Sasa kama anataka kuleta ujinga sisi tufanyeje? Hapo kwa tafsiri yake ni kama anasema Lissu amekiuka sheria za uchaguzi ili akatwe!Kwa hiyo mnapambana na Membe na sio CCM tena??
Kwa hiyo mnaamini kauli za Membe zina influence maamuzi ya walichopanga NEC??Sasa kama anataka kuleta ujinga sisi tufanyeje? Hapo kwa tafsiri yake ni kama anasema Lissu amekiuka sheria za uchaguzi ili akatwe!
Kweli Mkuu umeunganisha dot !ACT unainaje angali mazao yake YULE mkuu wa mkoa kilimanjaro angalia kitila unganisha dot
Mkongwe wa sheria atakuwa yeye? Zero brain kama mimi tu.Lissu ni mkongwe wa sheria ni wazi hajakurupuka,anajua alifanyalo,wajichanganye kumuengua uchaguzi UTASIMAMA.
Kitu pekee kinachosubiriwa ni verification ya kinachomtia kiburi na namna ya kumalizana nacho.Lissu ni mkongwe wa sheria ni wazi hajakurupuka,anajua alifanyalo,wajichanganye kumuengua uchaguzi UTASIMAMA.
Mkuu, una haki ya kusema lolote ili kuhalalisha malipo yako ya elfu saba kwa siku kutoka kwa polepole.Tundu Lisu anakatwa na hakuna kitu wewe au yeye mtafanya, ...