Uchaguzi 2020 Membe: Mimi nilitafuta wadhamini kimya kimya kukwepa mtego wa kuvunja kanuni na kuanza kampeni mapema

Uchaguzi 2020 Membe: Mimi nilitafuta wadhamini kimya kimya kukwepa mtego wa kuvunja kanuni na kuanza kampeni mapema

Mawazo ya zito siyo kuiondoa ccm madarakani bali kumzuia lisu ili membe agombeee ili ACT-WAZALENDO ijilikane zaid katika siasa za tz
 
Tarehe 28 mwezi huu, Chadema mtajua hamjui. Mkileta nyokonyoko ni mwendo wa Adam Mchomvu, Mitama tuu. Sheria haiwezi kupindishwa eti kwa kuwaogopeni ninyi. Tutawasomea kanuni, msibokubali shauri yenu.
 
Tundu Lisu anakatwa na hakuna kitu wewe au yeye mtafanya, ...
Mlisema hawezi kupona AMEPONA, Akipona hataweza kutembea ANATEMBEA, Hataweza kurudi AMERUDI, Mlisema akirudi atakamatwa HAJAKAMATWA, Mnasema atakatwa na NEC HATAKATWA, Mtasema hatashinda ATASHINDA, Akishinda hatatangazwa ATATANGAZWA, Akitangazwa hataapishwa AMEAPISHWA. Mtasemaje tena sasa.
 
Mh. Membe mchakato huu si kama zile chakato zenu za ndani ya chama chako cha zamani, mchakato huu unaedeshwa kwa sheria.

Jaji anayeheshimu taaluma.yake hawezi kufanya uhuni kuwafurahisha CCM lah hasha!!

Unaweza kuwa alikwenda kimyaa kimya kumbe ndiyo ukawa umeharibu kila kitu..yaani ukawa umekiuka sheria.

Kiongozi ni lazima ajue sheria vizuri ili kutetea haki za hao unaotaka kuwaongoza.
 
Kwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?

Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.

Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.

CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.

Halafu yeye Membe alivyoenda Zanzibar Yale maandamano na zile ahadi jukwaani alikuwa anafanya nini.

Inawezekana Membe ndio mchawi wa Lissu kuliko hata CCM wenyewe.
Ccm hawahitaji msaada wa yeyote ili kufanya dhuluma.Acheni kulaumu watu wasio na madhara,jipangeni.
 
Kula tano mwanangu, huyo Membe tumesema muda mrefu sio mpinzani naona Zito hajatuelewa. Membe anajua kabisa hauziki bara wala visiwani, na hata kule visiwani alitembelea nyota ya Seif, hivyo amejua akifanya hivyo huku bara atapimwa nguvu yake. Kwanza anapaswa kujua sasa hivi aliyekaza mikutano ya siasa kinyemela kasharuhusu, hivyo Lisu amepiga 2 in 1, mikutano ya kisiasa na kusaka wadhamini hapo hapo. Hizo lugha anazoongea ni za kujipendekeza kwa Magufuli,ili baada ya uchaguzi awe anaalikwa kwenye gafla za serikali. Nitashangaa sana kama Lisu atakatwa kisha wapinzani wampigie kura Membe.
Inashangaza Sana Membe badala ya kuelekeza mashambuzi CCM anaelekeza kwa Chadema ambao wapo kundi moja.

Na hii fomula wanaitumia Sana CCM wagawe Kisha watawale Sasa naona Membe kaingia kwenye mtego mazima...hii inaonyesha Wapinzani hawapo pamoja tena.
 
Nayo atuondolee ujinga hapa, mbona Zanzibar walipokelewa kwa maandamano? Kiufupi hatoshei kwa Lissu hata kidogo, ampishe Lissu apeperushe bendera ya wapinzani!
Kwa hiyo mnapambana na Membe na sio CCM tena??
 
Kwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?

Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.

Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.

CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.

Halafu yeye Membe alivyoenda Zanzibar Yale maandamano na zile ahadi jukwaani alikuwa anafanya nini.

Inawezekana Membe ndio mchawi wa Lissu kuliko hata CCM wenyewe.
Wakati Membe anatoa mipasho ya niguse ninuke mlimuona shujaa, leo kusema hivyo ndo kaonekana muoga?
 
Membe bwana sasa mm mapakannamuonea huruma maana anatia huruma
 
Membe sema tu ukweli kwamba hukuwa na Nyota kama ya Maalim Seif- Zanzibar na Lissu- Bara: Unataka kumaanisha mnapenda zaid bara kuliko Zanzibar ambayo inaonekana ACT wanasubiri kutangazwa?
 
Ila CHADEMA mna wivu sana.Kila mtu achese game lake.
 
Wacha undumilakuwili wewe, Membe. Kwa mantiki hiyo basi wewe ulianza kampeni tokea 2019. Na hiyo ya Zanzibar wewe na Maalim utaiita nini?

Mimi ni ACT do and die lakini nitamsupport mpinzani yoyote mwenye chance kubwa ya kuliuwa na kulifukia hili dudu CCM. Ili mkutano kuitani kampeni unatakiwa uwe ndaninya muda uliopangwa kisheria na NEC. Nje ya muda huo you can call it anything but campagin. CCM juzi uwanja wa Karume utaiita ni kampeni nayo. Hashim Rumgwe anatembea na sahani za ubwabwa nayo ni kampeni? Kwa kifupi kampeni ni mikutano ya siasa inayofanyika kwa kipindi maalumu kilichopangwa na NEC kwa wagombea kujitangaza. Siasa za.kipindi hiki si za lele mama. If you cant follow the beats please dont be on the dance floor!
 
Kwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?

Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.

Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.

CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.

Halafu yeye Membe alivyoenda Zanzibar Yale maandamano na zile ahadi jukwaani alikuwa anafanya nini.

Inawezekana Membe ndio mchawi wa Lissu kuliko hata CCM wenyewe.
idawa chungu kwa Membe
 
Back
Top Bottom