TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Imekula kwenu...! Ujanja mwingi...kumbe hamna kitu!Huyu ni kirusi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imekula kwenu...! Ujanja mwingi...kumbe hamna kitu!Huyu ni kirusi tu
Huyo ni pandikiziKwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?
Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.
Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.
CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.
Halafu yeye Membe alivyoenda Zanzibar Yale maandamano na zile ahadi jukwaani alikuwa anafanya nini.
Inawezekana Membe ndio mchawi wa Lissu kuliko hata CCM wenyewe.
Kweli kabisaMataga yanajifariji, kwa taarifa tu hakatwi mtu na sheria tunazijua kuliko huyo Membe.
Ngoja Kigogo atatupatia mwongozo maana ile list ya jana ilikuwa kwa wagombea ubunge tu.Au ni Afisa kipenyo?
Tunapambana na CCM na vimelea vyake vyoteKwa hiyo mnapambana na Membe na sio CCM tena??
Hakunapopote kwenye kanuni za tume za uchaguzi2020 zimeeleza kuanza kampeni mapema so bashite jifunze kusema na kuelewa ukisemachoMmeanza kuwehuka eeeh?
Mwambieni Mbeligiji akasome tena sheria za tume na kanuni zake
2015 magufuli alivyotangazwa alizunguka. Nchi nzima safari hii kitu gani kimemzuia. 2015 lowassa alizunguka nchi nzima 2010 Dr Slaa alizunguka nchi nnzima. Acheni uoga nyie ccm. Na vibaraka wenu actKwani nyie mnaelewaga basi!
Mpaka mpigwe kidogo kwenye vichwa hivyo ndio mnaelewa.
Hivi unafikiri Membe na Magufuli hawakuwa na hela za kuzungukia mikoani kutafuta wadhamini?
Tume ya uchaguzi imetoa kanuni za uchaguzi 2020 hakuna katazo la kampeni za mapema. KasomeKama waliozitunga wanazijua kuliko wengine,mbona hawaji mahakamani kuzifanyia hukumu,?kwa taarifa tu, Lissu kakosea kanuni,na ataenguliwa,Sheria zinasomewa ndugu.
in CAPITAL BOLD LETTERSPathetic
Mchawi Wa Upinzani ni mpinzani mwenyewe!..Naanza kuiona Vita ya panzi ambayo kwa hakika itamfaidisha zaidi kunguru! Naanza kuamini ule uzushi kuwa Membe ni pandikizi!
Vurugu gani? Kwani kuna aliyeletewa vurugu?
Au mnataka vurugu?