idawa
JF-Expert Member
- Jan 20, 2012
- 25,284
- 38,364
Amefunikwa na Lissu, anaombea Akatwe abaki yeyeMbona kama BM anataka lisu akatwe[emoji23] hovyo kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefunikwa na Lissu, anaombea Akatwe abaki yeyeMbona kama BM anataka lisu akatwe[emoji23] hovyo kabisa.
Kati yako wew na mke wa JPM,ni nani ana undugu zaidi na JPM?Kati ya wewe na Mke wa Tundu Lisu nani ana uchungu zaidi na Tundu Lisu?
Tundu Lisu anakatwa na hakuna kitu wewe au yeye mtafanya, ...
Ile body language yake wakati anatoa maelezo hayo imeficha mengi nyuma yake. Huyu ana lake jamboKwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?
Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.
Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.
CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.
Halafu yeye Membe alivyoenda Zanzibar Yale maandamano na zile ahadi jukwaani alikuwa anafanya nini.
Inawezekana Membe ndio mchawi wa Lissu kuliko hata CCM wenyewe.
mnaongea na kuchezea moto , acheni kushabikia mambo kama haya sio afya kwa taifa , na hakuna tume yakuweza kufanya upuuzi kama huu na vyombo vya ulinzi vikakubari , njia za kumshinda lissu zinaweza kuwepo ila sio hii mnayoishabikiaTAL,out!
Hawa mbugila mbugila hawajui kuwa tuko bize kukusanya ushahidiKule Zanzibar siyo kampeni. Kufanya mara mbili na aliyefanya zaidi wote kundi moja. Alishindwa kutambua hilo mapema na bora angeendelea tu. Hata Magufuli pale Chimwaga ni sawa na alifanya kampeni siku zote ingawa naye alifanya mara moja. Watu wasiojielewa wanaishi kwa tabu sana.
Membe huenda ni project maalumu huko upinzani.Kwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?
Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.
Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.
CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.
Halafu yeye Membe alivyoenda Zanzibar Yale maandamano na zile ahadi jukwaani alikuwa anafanya nini.
Inawezekana Membe ndio mchawi wa Lissu kuliko hata CCM wenyewe.
Kati yako wew na mke wa JPM,ni nani ana undugu zaidi na JPM?
Labda utakatwa weweTundu Lisu anakatwa na hakuna kitu wewe au yeye mtafanya, ...
Kwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?
Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.
Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.
CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.
Halafu yeye Membe alivyoenda Zanzibar Yale maandamano na zile ahadi jukwaani alikuwa anafanya nini.
Inawezekana Membe ndio mchawi wa Lissu kuliko hata CCM wenyewe.
Tundu Lisu anakatwa na hakuna kitu wewe au yeye mtafanya, ...
Mke wa JPM, na kati ya wewe je, na Mke wa Tundu Lisu nani anamjua zaidi Tundu Lisu?
Bado uCCM hajaisha kichwaniUyu mwamba hana nguvu
Vurugu gani? Kwani kuna aliyeletewa vurugu?Robert Amsterdam anatisha zaidi, baada ya barua yake umeona vurugu tena?
hebu jiulize vizuri namna lisu alivyozunguka kutafuta wadhamini utapata majibu, usimuulize mtu tumia akili yako mwenyeweKwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?
Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.
Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.
CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.
Halafu yeye Membe alivyoenda Zanzibar Yale maandamano na zile ahadi jukwaani alikuwa anafanya nini.
Inawezekana Membe ndio mchawi wa Lissu kuliko hata CCM wenyewe.
Lissu hayupo tayari kushindwa kwa namna yoyote,yupo kishari zaidi na kulipa kisasi.kwa hiyo,hata apewe kura zake ahesabu mkononi,hata kibali,nia yake ni machafuko tumnaongea na kuchezea moto , acheni kushabikia mambo kama haya sio afya kwa taifa , na hakuna tume yakuweza kufanya upuuzi kama huu na vyombo vya ulinzi vikakubari , njia za kumshinda lissu zinaweza kuwepo ila sio hii mnayoishabikia