Uchaguzi 2020 Membe: Mimi nilitafuta wadhamini kimya kimya kukwepa mtego wa kuvunja kanuni na kuanza kampeni mapema

Uchaguzi 2020 Membe: Mimi nilitafuta wadhamini kimya kimya kukwepa mtego wa kuvunja kanuni na kuanza kampeni mapema

hmmm mimi sio mwanasiasa lakini naweza kufikiri hawa jamaa wanamuogopa sana Lissu.

Maana hawaishi vimbwanga kama watoto wa mama wa kambo!

Kama wewe siyo mwanasiasa na umeliona hili, ukiwa mwanasiasa utatisha sana.

Ambacho sielewi, ni kwa nini wanaogopa wakati tume wanayo na matokeo hayapingwi mahakamani.
 
Yani wewe unajua sheria kuliko waliotunga hizo sheria?

Vituko hivi
Karne ya 21,nimefurahishwa na wagombea wa Jimbo la geita vijijini na sengerema mkoa wa mwanza. Tanzania nzima iige mfano huo kwenye kuchagua wabunge.
 
Yani wewe unajua sheria kuliko waliotunga hizo sheria?

Vituko hivi
Karne ya 21,nimefurahishwa na wagombea wa Jimbo la geita vijijini na sengerema mkoa wa mwanza. Tanzania nzima iige mfano huo kwenye kuchagua wabunge.
 
Yani wewe unajua sheria kuliko waliotunga hizo sheria?

Vituko hivi
Kama waliozitunga wanazijua kuliko wengine,mbona hawaji mahakamani kuzifanyia hukumu,?kwa taarifa tu, Lissu kakosea kanuni,na ataenguliwa,Sheria zinasomewa ndugu.
 
Wasalaam wana jamvi!

Mgombea wa ACT Wazalendo jana alikwenda mahakama kuuu kula kiapo kwa judge ... alipoulizwa na waandishi kuhusu njia yake ya kutafuta wadhamini aliweka wazi kabisa yeye alikuwa mtulivu kusoma kanuni na sheria hivyo ndio maana alitumia njia ya kutafuta wadhamini kimya kimya ili asivunje kanuni alizo zisoma na kuzielewa!

Alisema wazi kabisa hakutaka kuingia kwenye mtego wa kuanza kampeni kabla ya muda maana muda ya kujinadi bado haujafika mpaka hapo watakapo vuka kiunzi cha kuteuliwa na tume!

Ni wazi kuna mtu hapa alikuwa ana kumbushwa na kutumiwa salamu!

Wape salaaam....

Mswahilikavaasuti

Ukiwa hujuwi sheria lazima utakuwa muoga muoga na mwisho we hata nchi hutaweza kuiongoza kwa kufuata sheria maana huzifahamu. Lissu alishasema kisheria huwezi kuanza kampeni mapema wakati hujateuliwa hiyo haiwi kampeni kwakuwa hujaidhinishwa kuwa mgombea hivyo zinakuwa ni ziara za kutafuta tu wadhamini au kuimarisha chama kampeni wanafanya wagombea na sasa bado tume haijateua wagombea. Aelewe sheria vizuri siyo anakuwa muoga muoga. Anaonekana kama anatumiwa ukimsikiliza kwa makini anaombea Lissu akatwe akidhania kuna kosa lolote limekiukwa kumbe hakuna. Kama ni kuenguliwa Magufuli pia itabidi aenguliwe basi maana yeye hakuwa anatafuta wadhamini ila kuhamasisha watu wachague chama chake pia.
 
Huyu jamaa Act walimuamini vipi Hadi kumpa wadhifa wa kugombea nafasi nyeti hivyo.Mbona Ni pandikizi hili?
ACT unaijua vizuri angali mazao yake YULE mkuu wa mkoa kilimanjaro angalia kitila unganisha dot
 
Kwa hiyo foreigner anaichagulia Tume ya Uchaguzi ya JMTZ iliyopo Kikatiba ni mgombea yupi impitishe na yupi isimpitishe? Bahati yako ni Mwanamke, na mimi naheshimu Wanawake sana vinginevyo ungeipata leo, ...
Ni sheria sio Amsterdam wala Tume ya uchaguzi
 
Mgombea Urais wa chama cha ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema wao wamepata wadhamini katika mikoa kumi

Amesema ACT-Wazalenda waliamua kutafuta wadhamini kimyakimya ili kuepuka kuteleza

Majina wa wateule wa kugombea Urais yanatarajia kutolewa na Tume ya Uchaguzi, NEC Agosti 25, na kampeni zitaanza Agosti 26

Source ITV
Membe kashaanza kutuvuruga!

I knew Membe ni tatizo.....Chadema knew all this!

Fvck Membe!
 
Tundu Lisu anakatwa na hakuna kitu wewe au yeye mtafanya, ...
Anakatwa na nani?

Yaani Mgombea mmoja ana uwezo wa kumkata mgombea mwenzake kwenye democratic process?

Ndio maana tunasema dictatorship ni tatizo...

Dictator ni above the law,hivyo rule of law goes outta window..

Eti ooh Magufuli ni dikteta mzuri,no such thing as a benevolent dictator....A good dictator is only the dead one!

Akatwe mtu bila hearing au judicial process muone vuruga itakayotokea...

Dictatorship is a curse...

Na tupo humu na majitu mazima yenye ma-degree yanashabikia dictatorship...hivi akili mliacha chooni?
 
Kwani nyie mnaelewaga basi!

Mpaka mpigwe kidogo kwenye vichwa hivyo ndio mnaelewa.

Hivi unafikiri Membe na Magufuli hawakuwa na hela za kuzungukia mikoani kutafuta wadhamini?

Tajeni hiyo sheria basi mbona mnazunguka tu sijui kanuni sijui nini, iko hivi kwenye vyama ndiko kwenye hayo makatazo ya kuanza kampeni mapema sasa watu kama Membe ameshazoea hizo kanuni za chama chake anadhani kuna sheria ya uchaguzi inayokataza kuanza kampeni mapema. Kwanza haiwezekani sababu wagombea wakishaidhinishwa huwa wanaruhusiwa kuanza kampeni sasa watawezaje kuanza kampeni kabla ya kuidhinishwa na tume ni mambo ya kuchekesha sana watu wenye akili wanahangaika kiasi hicho. Nakumbuka Membe mwaka 2015 kidogo aenguliwe na chama chake kwa kosa hilo ndiyo maana sasa hivi hata akiguswa na jani anafikiri ni nyoka.
 
Mgombea Urais wa chama cha ACT-Wazalendo Bernard Membe amesema wao wamepata wadhamini katika mikoa kumi

Amesema ACT-Wazalenda waliamua kutafuta wadhamini kimyakimya ili kuepuka kuteleza

Majina wa wateule wa kugombea Urais yanatarajia kutolewa na Tume ya Uchaguzi, NEC Agosti 25, na kampeni zitaanza Agosti 26

Source ITV
Membe nae haishi kutapatapa,

Truth be told Membe hana mvuto kwa watanganyika na pia hana msuli wa kupambana na Magufuli, isitoshe na yeye amekuwa sehemu ya mifumo kandamizi tangu alipoanza kazi serikalini.

Aache kujishaua hapa.
 
Back
Top Bottom