Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Tena mpaka Bwana Yule alipiga simu na kuongea live.Kwani ccm walivyokusanya wasanii uhuru Stadium haikuwa kampeni kabla ya kipenga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena mpaka Bwana Yule alipiga simu na kuongea live.Kwani ccm walivyokusanya wasanii uhuru Stadium haikuwa kampeni kabla ya kipenga?
MATAGA kuna uhaba wa vijana wasomiTundu Lisu anakatwa na hakuna kitu wewe au yeye mtafanya, ...
Wanatia huruma hawa LumumbaMmekosa ya kusema sasa mnahangaika tu. Poor you
Watu gani?Kuna watu washapiga kampeni mikoa sita
Tundu Lisu anakatwa na hakuna kitu wewe au yeye mtafanya, ...
Kwahiyo CCM mmeamua kabisa ni bora akatwe maana pumzi imewakata? Natamani apitishwe hata kama hatashinda ila atatuambia ukweli wa mambo mengi yaliyofichwa gizani kwenye huu utawala wenu mpya mpyaTundu Lisu anakatwa na hakuna kitu wewe au yeye mtafanya, ...
Hata mm nilimsikia halafu ghafla kibaridi cha wasiwasi juu ya mgombea ninayemkubali Sana kikanikumba.Ni wazi kuna mtu hapa alikuwa ana kumbushwa na kutumiwa salamu!
Unawafahamu sanaWatu gani?
Robert Amsterdam unamfahamu?Tundu Lisu anakatwa na hakuna kitu wewe au yeye mtafanya, ...
Robert Amsterdam unamfahamu?
Jaribuni kumkata muone!!! Kama sumu inaonjwa sasa onjeni muone!!Tundu Lisu anakatwa na hakuna kitu wewe au yeye mtafanya, ...
Leo kachero mbobezi kawa muoga tena??Kwa hiyo Chadema waliotafua wadhamini hadharani wameteleza.?
Kwa hii kauli haoni kama anawasaidia CCM na Tume ya Uchaguzi kufanya fitina.
Upepo wa Lissu unamtesa Sana huyu Membe kuliko nguvu ya CCM.
CCM inapenda watu waoga waoga kama Membe ili ipate kuwaburuza.
Membe naye mjinganjinga alitakiwa kubaki ccm mpinzani gani mwoga analeta unafiki wa ccm na siasa za analog wapinzani wanafanya siasa za kidigital muda mrefu, Membe bodo yuko nyuma sana mawazo ya kiccm aachane na upinzani amefeli kabla ya kuanzaWasalaam wana jamvi!
Mgombea wa ACT Wazalendo jana alikwenda mahakama kuuu kula kiapo kwa judge ... alipoulizwa na waandishi kuhusu njia yake ya kutafuta wadhamini aliweka wazi kabisa yeye alikuwa mtulivu kusoma kanuni na sheria hivyo ndio maana alitumia njia ya kutafuta wadhamini kimya kimya ili asivunje kanuni alizo zisoma na kuzielewa!
Alisema wazi kabisa hakutaka kuingia kwenye mtego wa kuanza kampeni kabla ya muda maana muda ya kujinadi bado haujafika mpaka hapo watakapo vuka kiunzi cha kuteuliwa na tume!
Ni wazi kuna mtu hapa alikuwa ana kumbushwa na kutumiwa salamu!
Wape salaaam....
Mswahilikavaasuti
Mbona Dodoma imewachagulia WAZANZIBARI mgombea urais kwa tiketi ya ccm?Kwa hiyo foreigner anaichagulia Tume ya Uchaguzi ya JMTZ iliyopo Kikatiba