Abul Aaliyah
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 7,718
- 5,899
Npo Uzbekistan karbu sana
Vipi na wewe upo UK?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi na wewe upo UK?
Pole kwa stress za ndoa yakoUlinipeleka wewe?
1.tunashukuru balozi na jasusi mbobezi mimi ninaona ni vyema ukaomba nafasi ya kutoa ushauri kwa hiyo idara husika ili habari zile zinatoka unavyoona wewe.Anaandika Bernard Membe.
Rondo- Lindi.
Sikuingia kwenye mitego yao hiyo. Mimi kama Watanzania wote wenye akili za kawaida nilishangazwa sana na ukimya wa Serikali huku damage na rumours zikiwa zimetanda kote nchini bila kuzitolea maelezo kwa siku 3 mfululizo! Mhe. Rais ni kiongozi wa Umma. Inapotokea sintofahamu au upotoshaji wowote ule, ulikuwa ni wajibu wa Msemaji wa Ikulu au wa Serikali kukanusha na kuweka mambo sawa kama wanavyofanya siku zote.
Vinginevyo wale wenye akili za mbilikimo na makuhani wa unafiki wanachukua mwanya huo kutunga ya kwao ili kumfurahisha Mhe. Rais.
Ben Membe.
Rondo- Lindi.View attachment 1241102View attachment 1241103
Asante mimi nipo hapa Dublin Ireland nitakuja hapo siku moja nikuone mkuu!Npo Uzbekistan karbu sana
Binafsi sikubaliani nawe, serikali ina msemaji wake, rais kupitia ikulu wana msemaji.hivi serikali kutoa general statement kuhusu rais kuna tatizo gani? Kwani tetesi za kwenye mtandao si zinatolewa na RAIA pia? Kwa mtazamo wangu Msigwa hajawatendea haki watanzania Na hata rais mwenyewe aliyemteua.kwa mtazamo wangu alipaswa kuwajibishwa.Sikubaliani na Membe.
Ilichokifanya serikali nadhani ndicho kilikuwa sahihi.
Kwamba, tetesi za kijuha na kipumbavu, ni vyema kuzipuuza kwa maneno lakini pia kuzijibu kwa vitendo ndani ya muda mzuri.
Rais kujitokeza na kuendelea kufanya kazi zake, lilikuwa ni jibu murua kabisa kwa majuha wote walioshiriki kutunga na kueneza uzushi wao.
Hivyo ndivyo inavyotakiwa.
Msemaji wa serikali akianza kujibu kila aina ya uzushi, kufanya hivyo ni kuubariki na kuuhalalisha uzushi huo. Serikali itafanya hivyo kwa mangapi? Maana uzushi na uongo ni sehemu kubwa sana ya hii mitandao ya kueneza na kujazana ujinga.
Safi sana serikali. Safari hii mmetenda vyema.
Kiswahili kinazidi kuongeza misamiati katika nyanja za siasa, mwezi mmoja tu tumepata "kujimwambafai" na "wabwekaji wa Taifa"Wabwekaji wa taifa?!!!.......... Huu ni msamiati mpya!
Serikali ilivyofanya ndiyo njia sahihi kabisa kwa mavuvuzela huoni sasa yanaona aibu sana tu mpaka yamekimbia kwenye mitandao nenda huko tweeter ukaone huyo kigogo wako alivyotukanwa matusi ya nguoni!!Binafsi sikubaliani nawe, serikali ina msemaji wake, rais kupitia ikulu wana msemaji.hivi serikali kutoa general statement kuhusu rais kuna tatizo gani? Kwani tetesi za kwenye mtandao si zinatolewa na RAIA pia? Kwa mtazamo wangu Msigwa hajawatendea haki watanzania Na hata rais mwenyewe aliyemteua.kwa mtazamo wangu alipaswa kuwajibishwa.
Asante mimi nipo hapa Dublin Ireland nitakuja hapo siku moja nikuone mkuu!
Mkuu una chuki na member, ana haki ya kujibu, kaguswa na MusibaHivi Membe shida nini? unataka nini zaidi?
Nashauri utulie sometime kukaa kimya ni busara.
Acha kuuadaa Umma Ili upinzani waje 2020 wafanye kama walivyofanya 2015 kwa Lowassa
Nipe email account yako ili nikiwa nakuja nikucheki mkuu.Karibu sana ndugu muhimu contact tu
Mkuu hapana, taharuki ilikuwa kubwa mno kwa sababu ya uzembe Wa Msigwa, kumbuka analipwa kwa ajili hiyo....kazi yake pia Ni kutoa ratiba ya rais na kuondoa hofu....Kwa mtazamo wangu Msigwa alipaswa kufukuzwa.Serikali ilivyofanya ndiyo njia sahihi kabisa kwa mavuvuzela huoni sasa yanaona aibu sana tu mpaka yamekimbia kwenye mitandao nenda huko tweeter ukaone huyo kigogo wako alivyotukanwa matusi ya nguoni!!
Magu hateuwi failures mkuu.. Huyo jamaa ni form four failure wa pale Shaban RobertUmeteuliwa kuwa Mkuu wa wilaya
Binafsi sikubaliani nawe, serikali ina msemaji wake, rais kupitia ikulu wana msemaji.hivi serikali kutoa general statement kuhusu rais kuna tatizo gani? Kwani tetesi za kwenye mtandao si zinatolewa na RAIA pia? Kwa mtazamo wangu Msigwa hajawatendea haki watanzania Na hata rais mwenyewe aliyemteua.kwa mtazamo wangu alipaswa kuwajibishwa.
Nipe email account yako ili nikiwa nakuja nikucheki mkuu.
Huyu mzee ana lake jambo. Alitaka serikali itolee ufafanuiz ujinga wa mtu mmoja tena wa kutunga? Rais kwani alipotea siku ngapi? Nawapongeza sana Ikulu kwa kumpuuza huyo mjinga. Kukanusha au kutoa ufafanuzi ingekuwa kama kuchezwa muziki na huyo mjinga. Membe ameandika haya kwa sababu anaona huyo Kigogo amedharaulika na hataaminika tena siku sijazo. Serikali ingejibu ujinga kama ule kesho angekuja na jingine. Walifanya vizuri sana kuendelea na shughuli zao bila kutetereka. Membe anataka kutuambia kuwa rais akiwa kwenye matatizo basi habari huwa inatolewa kwenye Internet tena na mtu anayetumia jina la bandia? Naona huenda na yeye alishatarisha suti zake lakini akapigwa na butwaa na aibu kubwa...Membe haya anaytaka mwenyewe sio siri ,sijui anawashwa nini
Sema ilikuwa kwenye mitandao ya kijamii huko mitaani ilikuwa hata haijulikani mkuu.Mkuu hapana, taharuki ilikuwa kubwa mno kwa sababu ya uzembe Wa Msigwa, kumbuka analipwa kwa ajili hiyo....kazi yake pia Ni kutoa ratiba ya rais na kuondoa hofu....Kwa mtazamo wangu Msigwa alipaswa kufukuzwa.