Membe: Musiba na Mchange anayewatuma kunichafua kwanini hamnipeleki mahakamani? Kama mnaweza kunirekodi mmeshindwa nini kutoa huo ushahidi

Membe: Musiba na Mchange anayewatuma kunichafua kwanini hamnipeleki mahakamani? Kama mnaweza kunirekodi mmeshindwa nini kutoa huo ushahidi

Huyu mzee ana lake jambo. Alitaka serikali itolee ufafanuiz ujinga wa mtu mmoja tena wa kutunga? Rais kwani alipotea siku ngapi? Nawapongeza sana Ikulu kwa kumpuuza huyo mjinga. Kukanusha au kutoa ufafanuzi ingekuwa kama kuchezwa muziki na huyo mjinga. Membe ameandika haya kwa sababu anaona huyo Kigogo amedharaulika na hataaminika tena siku sijazo. Serikali ingejibu ujinga kama ule kesho angekuja na jingine. Walifanya vizuri sana kuendelea na shughuli zao bila kutetereka. Membe anataka kutuambia kuwa rais akiwa kwenye matatizo basi habari huwa inatolewa kwenye Internet tena na mtu anayetumia jina la bandia? Naona huenda na yeye alishatarisha suti zake lakini akapigwa na butwaa na aibu kubwa...
Alitayarisha suti!!?[emoji3][emoji3]
 
Membe arudishe tu mabilion ya Watanzania aliyopora kutoka libya

Jamhuri ikiamua kumshitaki atafilisika


Pia sio vizuri kuwatumia vijana kubweka mtandaoni kuisema serkali

Tuendelee kumuunga mkono mh Rais Kwa uchapa kazi

Serikali ya inchi nyingine ikitoa msaada kwa Tanzania pesa anapewa rais au waziri wa mambo ya inje? Na je pesa inawekwa kwenye account binafsi au account ya serikali? Kama pesa ni za libya why isidaiwe serikali ya awamu ya nne yote?
 
Sawa.

Huo ni mtazamo wako.

Kwa bahati mbaya, mtazamo wako haukuwa mtazamo wao, pia.
Saws mkuu, lakini binafsi naunga mkono mtazamo Wa membe.uwongo ukiachwa sana unakuwa ukweli na unazua taharuki.Hats mtaani watu wanamlaumu Msigwa.
 
Huyu mzee ana lake jambo. Alitaka serikali itolee ufafanuiz ujinga wa mtu mmoja tena wa kutunga? Rais kwani alipotea siku ngapi? Nawapongeza sana Ikulu kwa kumpuuza huyo mjinga. Kukanusha au kutoa ufafanuzi ingekuwa kama kuchezwa muziki na huyo mjinga. Membe ameandika haya kwa sababu anaona huyo Kigogo amedharaulika na hataaminika tena siku sijazo. Serikali ingejibu ujinga kama ule kesho angekuja na jingine. Walifanya vizuri sana kuendelea na shughuli zao bila kutetereka. Membe anataka kutuambia kuwa rais akiwa kwenye matatizo basi habari huwa inatolewa kwenye Internet tena na mtu anayetumia jina la bandia? Naona huenda na yeye alishatarisha suti zake lakini akapigwa na butwaa na aibu kubwa...

The state house couldn’t have appositely handled it any better than they did!

They get a 10/10 from me.
 
Mbwekaji wa Taifa
Sikubaliani na Membe.

Ilichokifanya serikali nadhani ndicho kilikuwa sahihi.

Kwamba, tetesi za kijuha na kipumbavu, ni vyema kuzipuuza kwa maneno lakini pia kuzijibu kwa vitendo ndani ya muda mzuri.

Rais kujitokeza na kuendelea kufanya kazi zake, lilikuwa ni jibu murua kabisa kwa majuha wote walioshiriki kutunga na kueneza uzushi wao.

Hivyo ndivyo inavyotakiwa.

Msemaji wa serikali akianza kujibu kila aina ya uzushi, kufanya hivyo ni kuubariki na kuuhalalisha uzushi huo. Serikali itafanya hivyo kwa mangapi? Maana uzushi na uongo ni sehemu kubwa sana ya hii mitandao ya kueneza na kujazana ujinga.

Safi sana serikali. Safari hii mmetenda vyema.
 
Musiba anasema ana watu milioni tatu nyuma yake ambao watachukua hatua dhidi ya aliowataja kwenye orodha yake kama Waziri wa Mambo ya ndani hatatii maagizo yake ya kuwachukulia hatua.
Sijui makosa ya aliowaoredhesha lakini kusema ana watu milioni tatu nyuma yake ambao wanaweza kuchukua hatua za kuwashughulikia watu anaowatuhumu kama serikali haitafanya hivyo, hiyo ni zaidi ya uanaharakati it is tantamount to treason. Watu milioni tatu si wachache kama wakitii amri ya mtu mmoja kinyume na mamlaka.
Wewe huyo mbwekaji wa taifa watu milion 3 awatoe wapi??tuanzie hapo kwanza..
 
Mpelekeni mahakamani si kumchafua kila siku kwenye magazeti na mitandao ya kijamii. Majungu tu.
Yeye Membe asichafuliwe akiwa kama nani, mbona mnashida humu mitandaoni na kuchafua wengine?
 
Sikubaliani na Membe.

Ilichokifanya serikali nadhani ndicho kilikuwa sahihi.

Kwamba, tetesi za kijuha na kipumbavu, ni vyema kuzipuuza kwa maneno lakini pia kuzijibu kwa vitendo ndani ya muda mzuri.

Rais kujitokeza na kuendelea kufanya kazi zake, lilikuwa ni jibu murua kabisa kwa majuha wote walioshiriki kutunga na kueneza uzushi wao.

Hivyo ndivyo inavyotakiwa.

Msemaji wa serikali akianza kujibu kila aina ya uzushi, kufanya hivyo ni kuubariki na kuuhalalisha uzushi huo. Serikali itafanya hivyo kwa mangapi? Maana uzushi na uongo ni sehemu kubwa sana ya hii mitandao ya kueneza na kujazana ujinga.

Safi sana serikali. Safari hii mmetenda vyema.
Kama hi sahihi mbona serikali hao hao wanalalamika kupitia Musiba, Jerry Muro, na wengine wengi.
Wazushi wako ccm humu humu wala hawatoki nje, kati ya wagombea 42 sidhani kama ni Membe pekee ambaye hakufurahi, lakini ni Membe pekee anafuatwa fuatwa na serikali ya Magufuli.
 
Kama hi sahihi mbona serikali hao hao wanalalamika kupitia Musiba, Jerry Muro, na wengine wengi.
Wazushi wako ccm humu humu wala hawatoki nje, kati ya wagombea 42 sidhani kama ni Membe pekee ambaye hakufurahi, lakini ni Membe pekee anafuatwa fuatwa na serikali ya Magufuli.

Una uhakika serikali inalalamika kupitia kwa Musiba au unahisi na kusadiki tu?
 
Sikubaliani na Membe.

Ilichokifanya serikali nadhani ndicho kilikuwa sahihi.

Kwamba, tetesi za kijuha na kipumbavu, ni vyema kuzipuuza kwa maneno lakini pia kuzijibu kwa vitendo ndani ya muda mzuri.

Rais kujitokeza na kuendelea kufanya kazi zake, lilikuwa ni jibu murua kabisa kwa majuha wote walioshiriki kutunga na kueneza uzushi wao.

Hivyo ndivyo inavyotakiwa.

Msemaji wa serikali akianza kujibu kila aina ya uzushi, kufanya hivyo ni kuubariki na kuuhalalisha uzushi huo. Serikali itafanya hivyo kwa mangapi? Maana uzushi na uongo ni sehemu kubwa sana ya hii mitandao ya kueneza na kujazana ujinga.

Safi sana serikali. Safari hii mmetenda vyema.
Mtu kaanguka hadharani tena kwenye mkutano wa hadhara halafu usitoe any statement, are serious?
 
Sikubaliani na Membe.

Ilichokifanya serikali nadhani ndicho kilikuwa sahihi.

Kwamba, tetesi za kijuha na kipumbavu, ni vyema kuzipuuza kwa maneno lakini pia kuzijibu kwa vitendo ndani ya muda mzuri.

Rais kujitokeza na kuendelea kufanya kazi zake, lilikuwa ni jibu murua kabisa kwa majuha wote walioshiriki kutunga na kueneza uzushi wao.

Hivyo ndivyo inavyotakiwa.

Msemaji wa serikali akianza kujibu kila aina ya uzushi, kufanya hivyo ni kuubariki na kuuhalalisha uzushi huo. Serikali itafanya hivyo kwa mangapi? Maana uzushi na uongo ni sehemu kubwa sana ya hii mitandao ya kueneza na kujazana ujinga.

Safi sana serikali. Safari hii mmetenda vyema.
Mkuu;
Walichofanya hao wazushi ni kutaka serikali imeze ndoana waliyotega ili waanze kupata promo!

Ninakubaliana na wewe, serikali imejibu kwa muda mwafaka/mzuri ndio maana tumeanza kuzisikia kelele za wale waliowatuma/kuchochea upuuzi!

Kwa sasa wamepata somo kuwa serikali haina muda wa kujibishana na wapuuzi kuhusu uzushi bali inatenda kuonyesha kwa wananchi ni kiwango gani cha upumbavu walichokifanya wazushi.
 
Safari nzima ya kusini ilikuwa lengo kupunguza nguvu na ushawishi wa Membe katika mikoa hiyo haswa baada ya wao kufanya blunder kwenye ishu ya korosho!

Wanamuogopa Membe kuliko Dengue!

Kama Membe alitoa kauli au maandishi yoyote kumsema Jiwe, yawekeni wazi tuone, waache ramli chonganishi!!
 
Una uhakika serikali inalalamika kupitia kwa Musiba au unahisi na kusadiki tu?
Waziri alimkanya Musiba, lakini Musiba ameendelea kuisemea serikali na hachukuliwi hatua, maaskofu waliiuliza serikali ikiwa haimzuii Musiba na wengi wanaamini serikali inamtuma, kwanini serikali isijitenge naye na asiruhusiwe kuisemea serikali, na imchukulie hatua.
Waziri alimuonya hadharani na alisema akirudia vyombo vya dola vita mshughulikia.
Tunaona tena kafanya yale yale, sasa tusemeje?! Uhakika upi ungekufaa wewe?!
 
Asante kwa taarifa. Ngoja tuone itaishia wapi. Na ile kesi yake dhidi ya Musiba iliishia wapi?
Huwa tunaona watu wenye kesi kama ile, kama wanarudia kosa lile lile wakati kesi ikiendelea, huwa wanafutiwa dhamana. Lakini kwa huyu Musiba, nashangaa, ana kesi Mahakamani, huku uraiani anaendeleza matendo, tena mengi tu yaliyosababisha afunguliwe kesi, bila woga, lakini hafanywi chochote.
 
Back
Top Bottom