Uchaguzi 2020 Membe: Naufahamu uwezo wa Lissu, nitahakikisha anapata kazi kwenye serikali yangu

Uchaguzi 2020 Membe: Naufahamu uwezo wa Lissu, nitahakikisha anapata kazi kwenye serikali yangu

Membe credibility yake imeshuka Sana... Ajitathimini anaongea vitu Kama mtu aliyechanganyikiwa
 
CHADEMA walimjua Membe mapema sana ndio maana walimkataa alipotaka kujiunga nao..

Serikali ya CCM siku zote imekuwa ikitumia mbinu zilezile kila Uchaguzi ufanyikapo..

Ndio maana mbinu zao za wizi wa KURA ni zilezile toka 1995 hadi Leo na iwapo wataweza kuforce this time kujitangazia ushindi na tukakubali basi hali ya Mtanzania itakuwa mbaya kuliko Ubaya wenyewe..
Jiandae kisaikorojia usije ukafa baada ya tarehe 28/10/2020 kwa stress. Magufuli anashinda kwa zaidi ya 80%.
 
Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla?

Membe amejibu kwa kuwa yeye anaongoza kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali anaona ingekuwa busara kwa upinzani kama wangeweka nguvu pamoja na kumsupport yeye, pia amedai anaufahamu vizuri uwezo wa Lissu kisheria na hivyo kumhakikishia kazi katika serikali yake mpya kadri ya katiba itakavyoruhusu.

Wakuu yapi maoni yenu?
Al Sahaf.
 
Back
Top Bottom